Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 11 uku. 9
  • Wazazi—Mufundishe Watoto Wenu Namna ya Kumufurahisha Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Wazazi—Mufundishe Watoto Wenu Namna ya Kumufurahisha Mungu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maamuzi Yenye Inaonyesha Kama Tunamutegemea Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Tumia Kanuni za Biblia ili Kusaidia Watoto Wako Wapate Matokeo ya Muzuri
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Kusoma Biblia Kila Siku na Kutafuta Hekima
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Maneno ya Mwisho-Mwisho ya Banaume Baaminifu Inakufundisha Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 11 uku. 9
Picha mbalimbali: Vyombo vya kufundishia watoto. 1. Watoto wa miaka mbalimbali wako naangalia kitabu “Kumsikiliza Mwalimu Mkuu.” 2. Kitabu “Kumsikiliza Mwalimu Mkuu.” 3. Mutoto mwanamuke iko na kitabu “Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia.” 4. Mutoto mwingine mwanamuke iko nasoma “Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia.” 5. Kijana mwanamuke iko nasoma kitabu “Kupata Faida Zote za Ujana Wako” ku mukusanyiko. 6. Kijana mwanaume iko natia rangi ku picha ya utendaji wa watoto yenye inakuwaka ku jw.org. 7. Picha ya mu broshua “Masomo Yangu ya Biblia.” 8. Picha ya mu video “Ukuwe Rafiki ya Yehova” ya Caleb na Sophia. 9. Kitabu “Mambo Yenye Unaweza Kujifunza Katika Biblia.” Picha ya mu ile kitabu inaonyesha Samsoni iko nasukuma nguzo mbili na nguvu yake yote.

MAISHA YA MUKRISTO

Wazazi—Mufundishe Watoto Wenu Namna ya Kumufurahisha Mungu

Yehova anaonaka vijana kuwa wa maana sana. Anaonaka maendeleo ya kiroho yenye wako nafanya na uvumilivu wao. (1Sa 2:26; Lu 2:52) Hata kama wangali wadogo sana, watoto wanaweza kumufurahisha Yehova kupitia mwenendo wao wa muzuri. (Mez 27:11) Kupitia tengenezo yake, Yehova ametolea wazazi vyombo vya muzuri sana vyenye wanaweza kutumia juu ya kusaidia watoto wao wamupende na kumutii Yehova.

MUANGALIE VIDEO WATOTO—UVUMILIVU WENU UNAMUFURAHISHA YEHOVA! NA KISHA MUZUNGUMUZIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Kwa miaka mingi, namna gani Yehova amesaidia na kuongoza vijana?

  • Tuko na vifaa gani vyenye vinaweza kusaidia wazazi?

  • Kama uko kijana, ni jambo gani yenye Yehova ametutolea yenye imekusaidia, na juu ya nini?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine