Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 5 uku. 4
  • “Umutumainie Yehova Mungu Wako”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Umutumainie Yehova Mungu Wako”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ona Wengine Vile Yehova Anawaona
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Ni Wakati Gani Njo Unapaswa Kumutegemea Yehova?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • ‘Moyo Wangu Utakuwa Pale Sikuzote’
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • B8 Hekalu Lenye Lilijengwa na Sulemani
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 5 uku. 4

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Umutumainie Yehova Mungu Wako”

Wakati waliogopeshwa, Yehoshafati na watu wa Yuda walitafuta musaada kwa Yehova (2Ny 20:12, 13; w14 15/12 uku. 23 fu. 8)

Yehova alifariji watu wake na aliwapatia muongozo wenye kuwa wazi (2Ny 20:17)

Yehova aliokoa watu wake kwa sababu walimutumainia (2Ny 20:21, 22, 27; w21.11 uku. 16 fu. 7)

Kikundi kidogo ya Mashahidi inakusanyika mu nyumba wakati polisi wenye kuwa na silaha wanaingia ndani ya ile nyumba.

Wakati Gogu atashambulia watu wa Yehova mu kipindi ya taabu kubwa, wale wenye kumutumainia Yehova na wenye kutumainia wale wenye Yehova iko natumia juu ya kutuongoza, hawatakuwa na sababu ya kuogopa.​—2Ny 20:20.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine