Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 5 uku. 2
  • Ona Wengine Vile Yehova Anawaona

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ona Wengine Vile Yehova Anawaona
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Umutumainie Yehova Mungu Wako”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Yehova Anasaidia Yehoshafati
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Utatia Moyo Wako Katika Mambo Yenye Kuandikwa?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Saidia Vijana ili Wapate Matokeo ya Muzuri
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 5 uku. 2

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Ona Wengine Vile Yehova Anawaona

Mufalme Yehoshafati alikamata uamuzi wenye kukosa hekima wakati alifanya mapatano na Mufalme Ahabu (2Ny 18:1-3; w17.03 uku. 24 fu. 7)

Yehova alimutuma Yehu ili amukaripie Yehoshafati (2Ny 19:1, 2)

Yehova alikumbuka mambo ya muzuri yenye Yehoshafati alikuwa amefanya tayari (2Ny 19:3; w15 15/8 uku. 6 fu. 8-9)

Ndugu mwenye kukwazika iko naangalia namna ndugu mwingine kuliko kusafikisha jumba ya Ufalme, iko nazungumuza kwa furaha pamoja na baba na mutoto wake.

UJIULIZE HIVI: ‘Sawa Yehova, ninaonaka sifa za muzuri za ndugu na dada kuliko kukazia hali yao ya kutokamilika?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine