Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 5 uku. 8
  • Unaweza Kumutumikia Yehova Hata Kama Wazazi Wako Hawakuwekee Mufano Muzuri

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaweza Kumutumikia Yehova Hata Kama Wazazi Wako Hawakuwekee Mufano Muzuri
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Onyesha Upendo Mushikamanifu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • ‘Aliendelea Kushikamana na Yehova’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Je, Unakumbuka
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • “Umutumainie Yehova Mungu Wako”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 5 uku. 8

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Unaweza Kumutumikia Yehova Hata Kama Wazazi Wako Hawakuwekee Mufano Muzuri

Mufalme Ahazi, baba ya Hezekia, alifanya mambo ya mubaya sana (2Ny 28:1; w16.02 uku. 10 fu. 8)

Hata kama baba yake alikuwa mufano mubaya, Hezekia alichagua kumutumikia Yehova (2Ny 29:1-3; w16.02 uku. 11 fu. 9-11)

Hezekia alitia wengine moyo waendelee kumutumikia Yehova hata kama baba zao walikosa uaminifu (2Ny 29:4-6)

Picha: 1. Ndugu kijana iko najifunza wakati watu wa familia yake wenye hawako Mashahidi wako napamba nyumba kwa ajili ya sikukuu. 2. Uleule ndugu kijana anajibia ku mukutano.

UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kufanya nini ili kutia moyo vijana wenye wazazi wao hawamutumikie Yehova?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine