Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 7 uku. 3
  • “Kutetea Habari Njema na Kuifanya Ikubaliwe Kisheria”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Kutetea Habari Njema na Kuifanya Ikubaliwe Kisheria”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Maamuzi Yenye Inaonyesha Kama Tunamutegemea Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Kisanduku Cha Maulizo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Itika Kama Kuko Mambo Yenye Haujue
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Kusoma Biblia Kila Siku na Kutafuta Hekima
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 7 uku. 3
Picha: 1. Gathie na Marie Barnett. 2. Ndugu Kokkinakis na wengine katika Tribinali ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu. 3. Mashahidi wa Yehova katika Tribinali ya Eneo ya Rostov katika Urusi. 4. Kikundi ya ndugu inje ya Tribinali ya Kikatiba ya Korea ya Kusini.

Kwenye picha zilitoka: Ukurasa wa 3: Kokkinakis na Ugiriki: Haki zimehifaziwa

Kwa kufuata mukuki wa saa kutoka juu kushoto: Kesi kati ya Baraza ya Elimu ya Virginia na Barnette; Kokkinakis na Ugiriki; Taganrog LRO Pamoya na Wengine na Urusi; Cha Pamoya na Wengine na Korea ya Kusini

MAISHA YA MUKRISTO

“Kutetea Habari Njema na Kuifanya Ikubaliwe Kisheria”

Wakati wapinzani walijaribu kuzuia Waisraeli kujenga tena hekalu, wajenzi walifanya yao yote ili kutetea kisheria haki yao ya kujenga. (Ezr 5:11-16) Vilevile, Wakristo leo wamefanya yao yote ili kutetea habari njema kisheria. (Flp 1:7) Njo maana Idara ya Mambo ya Kisheria ilianzishwa ku makao makubwa mu mwaka wa 1936. Leo Idara ya Mambo ya Kisheria inasimamia kazi ya kutetea faida za Ufalme mu dunia yote. Namna gani ile idara imesaidia kuendeleza kazi ya Ufalme na namna gani imesaidia watu wa Mungu?

MUANGALIE VIDEO KUTEMBELEA IDARA YA MAMBO YA KISHERIA KU MAKAO MAKUBWA, KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Mashahidi wa Yehova wamepambana na matatizo gani ya Kisheria?

  • Tumepata ushindi gani mbalimbali? Toa mufano

  • Kila mumoja wetu anaweza kufanya nini ili kusaidia “kutetea habari njema na kuifanya ikubaliwe kisheria?”

  • Ku site yetu ni wapi tunaweza kupata habari za kisheria kuhusu watu wa Mungu na liste ya Mashahidi wenye wamefungwa mu gereza kwa sababu ya imani yao?

Ikiwa wakati uko mu aina fulani ya mahubiri, wenye mamlaka wanakuambia kama uko navunja sheria, usijaribu kushugulikia ile jambo weye peke kwa kuzungumuzia haki zako za kisheria. Lakini palepale unapaswa kujitiisha kwa heshima. Zaidi ya ile, kama mwenye anakuambia uache kuhubiri ni polisi, kwa busara umuombe karte yenye kuonyesha kama yeye ni polisi na umuulize anatumikiaka ku biro ya wapi. Kisha, bila kukawia ujulishe wazee wenye watawasiliana na biro ya tawi ili kupata musaada zaidi.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine