Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 10/09 uku. 3
  • Kisanduku Cha Maulizo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kisanduku Cha Maulizo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Kutetea Habari Njema na Kuifanya Ikubaliwe Kisheria”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Tafadhali Fanyeni Ziara Bila Kukawia
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
  • Sababu Gani Tuondoke Mara Moja?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Majibu Kwa Maulizo Yenu
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2009
km 10/09 uku. 3

Kisanduku Cha Maulizo

◼ Tunapaswa kufanya nini ikiwa tunaagizwa tuache kuhubiri mahali fulani?

Nyakati fulani, polisi wamewaendea wahubiri ambao walikuwa katika kazi ya kuhubiri, wakawaambia kwamba wanavunja sheria, na kuwaagiza waache kuhubiri. Ikiwa tunaagizwa tuache kuhubiri mahali fulani, tunapaswa kuondoka kwa heshima na bila kukawia. (Mt. 5:41; Flp. 4:5) Tusitafute kumaliza tatizo hilo sisi wenyewe kwa kuanzisha nao mabishano kuhusu haki zetu za kisheria. Ikiwezekana, tutafute kwa hekima namba ya kadi ya polisi huyo, na namba ya kituo cha polisi anapotumikia. Kisha, tuwajulishe wazee bila kukawia, nao pia watajulisha biro ya tawi kuhusu jambo hilo. Pia, ikiwa mkuu wa jengo fulani ao mutu mwingine anayesimamia jengo linalokaliwa na watu wengi anatuomba tuondoke, tutaondoka bila kuchelewa na kuwajulisha wazee. Tutaepuka matatizo yasiyo ya lazima ikiwa tunashugulika na wale wenye mamlaka kwa upole na kwa unyenyekevu.—Met. 15:1; Rom. 12:18.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine