Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 7 uku. 4
  • Matendo ya Ezra Ilimutukuza Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Matendo ya Ezra Ilimutukuza Yehova
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ezra Alifundisha Watu Sheria ya Mungu
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Uendelee Kumutumainia Yehova Wakati wa Magumu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • Yehova Anapenda Watu Wenye Kuwa Tayari Kumutumikia
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Acha Yehova Akutumikishe
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 7 uku. 4

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Matendo ya Ezra Ilimutukuza Yehova

Ezra aliacha neno ya Mungu iguse moyo wake na iongoze matendo yake (Ezr 7:10; w00-SW 1/10 uku. 14 fu. 8)

Kupitia Ezra, wengine waliona hekima ya Mungu (Ezr 7:25; si-SW uku. 75 fu. 5)

Juu Ezra alijinyenyekeza mbele ya Mungu, alikuwa hakika kama Mungu atamuongoza na kumulinda (Ezr 8:21-23; it-1-F uku. 1155-1156 fu. 9)

Mukubwa wa kazi iko napongeza ndugu kwa kazi yake mu duka ya kurekebishia vitu.

Kwa sababu Ezra alionyesha hekima kutoka kwa Mungu mufalme alimupatia madaraka mazito. Kama Ezra, matendo yetu inaweza kumuletea Yehova sifa.

UJIULIZE HIVI: ‘Watu wenye hawako Mashahidi wananiheshimia kwa sababu ninatii kanuni za Mungu?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine