Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mwezi wa 9 uku. 8
  • Onyesha Kama Unamupenda Yehova Sana

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Onyesha Kama Unamupenda Yehova Sana
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Unaweza Kufanya Nini ili Ukuwe Rafiki ya Mungu?
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Unaweza Kuwa Muaminifu-Mushikamanifu Hata Kama Haukamilike
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • “Umutumainie Yehova”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Ayubu Aliendelea Kuwa Mushikamanifu Wakati Alijaribiwa
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
mwb23 Mwezi wa 9 uku. 8

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Onyesha Kama Unamupenda Yehova Sana

[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Ayubu.]

Shetani alisema kama Yobu alimutumikia Yehova na kumupenda juu alitafuta faida zake mwenyewe (Yob 1:8-11; w18.02 uku. 6 fu. 16-17)

Shetani anasema kama hatumupende Yehova kutoka mu moyo (Yob 2:4, 5; w19.02 uku. 5 fu. 10)

Dada mwenye kuvala kofia ya kazi iko nahubiria mwanamuke fulani kisha musiba wa asili.

Yehova anapatia kila mumoja wetu nafasi ya kuonyesha kama Shetani ni muongo. (Mez 27:11) Tunaweza kuonyesha kama tunamupenda Yehova kwa kuweka ibada yake pa nafasi ya kwanza mu maisha yetu mu kila hali, ikuwe ya muzuri ao ya mubaya.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine