UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Unaweza Kuwa Muaminifu-Mushikamanifu Hata Kama Haukamilike
Yobu alimulaumu Mungu kwa kukosea (Yob 27:1, 2)
Hata kama Yobu alifanya makosa, alijiona kuwa muaminifu-mushikamanifu (Yob 27:5; it-1-F 1194 fu. 5)
Juu ya kuwa muaminifu-mushikamanifu haiombe kuwa mukamilifu, inaomba tu kumupenda Yehova kwa moyo wote (Mt 22:37; w19.02 uku. 3 fu. 3-5)
ULIZO YA KUTAFAKARI: Namna gani kujua kama Yehova hatuombe tukuwe wakamilifu kunatusaidia tusiache kumutumikia?