MAISHA YA MUKRISTO
‘Uweke Kitu Fulani Pembeni’
Hatupaswe kukuwa natoa michango bila kupanga. Kuliko kufanya vile, sawa vile mutume Paulo alisema, kila mara tunapaswa ‘kuweka kitu fulani pembeni.’ (1Ko 16:2) Kufuata ile shauri yenye kuongozwa na roho kunatusaidia tutegemeze ibada safi na tukuwe na furaha. Hata kama tunaona kuwa muchango wetu ni wa kidogo sana, Yehova anafurahia sana kuona kama tunapenda kumuheshimia kupitia vitu vyetu vyenye samani.—Mez 3:9.
MUANGALIE VIDEO TUNAWASHUKURU KWA KUWEKA KITU FULANI PEMBENI, NA KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:
Tunapataka faida gani kama tunakamata mipango ya kutoa michango ya makuta?
Watu fulani wanafanyaka nini juu ya ‘kuweka kitu fulani pembeni’?