MAISHA YA MUKRISTO
‘Utosheke na Vitu vya Sasa’
Kama tuko maskini, tunaweza kushawishiwa kufanya mambo yenye itaharibisha urafiki wetu na Yehova. Kwa mufano, tunaweza kupata kazi ya makuta mingi, lakini yenye itafanya ikuwe nguvu kumutumikia Yehova. Kufikiria sana andiko ya Waebrania 13:5 kutatusaidia.
“Njia yenu ya maisha ikuwe bila upendo wa feza”
Usali na ujichunguze juu ya kujua namna unaonaka makuta, na ufikirie mufano wenye uko naachia watoto wako.—g 9/15 uku. 6.
“Wakati munatosheka na vitu vya sasa”
Ujikaze kujua mambo yenye uko nayo lazima kabisa.—w16.07 uku. 3 fu. 1-2.
“Sitakuacha hata kidogo, na sitakutupa hata kidogo”
Ukuwe hakika kama Yehova atakusaidia upate mambo yenye uko nayo lazima juu ya kuishi, kama unaendelea kutia Ufalme pa nafasi ya kwanza.—w14 15/4 uku. 21 fu. 17.
MUANGALIE VIDEO NAMNA NDUGU NA DADA ZETU WAKO NAFURAHIA AMANI HATA KAMA WAKO NA MAGUMU YA KUPATA MAKUTA, NA KISHA MUJIBIE ULIZO YENYE KUFUATA:
Mufano wa Miguel Novoa unakufundisha nini?