UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Namna Yobu Aliendelea Kuwa na Mwenendo Safi
Yobu alifanya agano na macho yake (Yob 31:1; w10-SW 15/4 uku. 21 fu. 8)
Yobu alijua matokeo ya mwenendo mubaya (Yob 31:2, 3; w08-SW 1/9 uku. 11 fu. 4)
Yobu alijua kama Yehova alikuwa anaona mwenendo wake (Yob 31:4; w10-SW 15/11 uku. 6 fu. 15-16)
Kuwa na mwenendo safi maana yake kuwa safi na bila uchafu, ndani na inje. Tunapaswa kujikaza kuwa na mwenendo safi hata mu mioyo yetu.—Mt 5:28.