Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 9 uku. 8
  • Epuka Mambo Yenye Haina Mafaa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Epuka Mambo Yenye Haina Mafaa
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Yobu Aliendelea Kuwa na Mwenendo Safi
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • ‘Baraka Hizi Zote . . . Zitawafikia’
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Yehova Anafanya Agano Pamoya na Daudi
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Namna Maadui Wetu Wanajaribu Kutufanya Tukuwe Zaifu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 9 uku. 8
Picha: 1. Akani iko nabeba kwa uficho vitu vyenye vilichukuliwa ku vita. 2. Ndugu mumoja iko naangalia mambo yenye haifae mu ordinatere yake usiku sana.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Epuka Mambo Yenye Haina Mafaa

Macho ya Akani ilimufanya akamate vitu vyenye havikukuwa vyake (Yos 7:1, 20, 21; w10-SW 15/4 uku. 20 fu. 5)

Matendo ya Akani ilikuwa na matokeo ya mubaya juu ya familia yake na juu ya taifa yote ya Israeli (Yos 7:4, 5, 24-26; w97-SW 15/8 uku. 28 fu. 2)

Tunapaswa kuwa na sifa ya kujizuia (1Yo 2:15-17; w10-SW 15/4 uku. 21 fu. 8)

Tunapaswa kuepuka mambo yenye haina mafaa yenye haitakuwa mu dunia mupya yenye haki yenye Mungu ataleta.​—2Pe 3:13.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine