UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Namna Maadui Wetu Wanajaribu Kutufanya Tukuwe Zaifu
Maadui wetu wanajaribu kutuvunja moyo kwa kusema mambo ya uongo juu ya wale wenye kuongoza (2Fa 18:19-21; w05-SW 1/8 uku. 11 fu. 5)
Wanajaribu kutudanganya kwa kusema mambo ya uongo juu ya Yehova na tengenezo yake (2Fa 18:22, 25; w10-SW 15/7 uku. 13 fu. 3)
Wanajaribu kutufanya tuache kumutii Yehova kwa kutuahidi mambo ya uongo (2Fa 18:31, 32; w13 15/11 uku. 19 fu. 14; yb74 uku. 177 fu. 1)
UJIULIZE HIVI: ‘Ni mambo gani ninaweza kufanya leo juu niweze kuvumilia mateso wakati yenye kuya?’