Daudi iko nafikiri juu ya agano yenye Yehova alifanya pamoya naye
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Yehova Anafanya Agano Pamoya na Daudi
Yehova alimuambia Daudi kama wafalme watatoka mu familia yake (2Sa 7:11, 12, maelezo ya chini; w10-SW 1/4 uku. 20 fu. 3; ona picha ya ku jalada)
Sehemu mbalimbali za agano yenye Yehova alifanya pamoya na Daudi zilitimia katika Masiya (2Sa 7:13, 14; Ebr 1:5; w10-SW 1/4 uku. 20 fu. 4)
Baraka za utawala wa kimasiya ni za milele (2Sa 7:15, 16; Ebr 1:8; w14 15/10 uku. 10 fu. 14)
Jua na mwezi vinatukumbusha kama utawala wa kimasiya ni wa milele. (Zb 89:35-37) Wakati unaviangalia, fikiria baraka zenye Yehova amekuahidi weye na familia yako kupitia Ufalme wake.