Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp23 na. 1 uku. 5
  • Mungu Anakuhangaikiaka

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anakuhangaikiaka
  • Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ninapenda Kufa​—Biblia Inaweza Kunisaidia Wakati Niko na Mawazo ya Kujiua?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Mungu Anaahidi Afya ya Akili Yenye Kukamilika
    Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2023
  • Magonjwa ya Akili Ni Tatizo Yenye Kuenea mu Dunia Yote
    Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2023
  • 2 | “Faraja Kutoka Katika Maandiko”
    Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2023
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unatangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti ya Watu Wote)—2023
wp23 na. 1 uku. 5
Kijana mwanaume anaikala chini pembeni ya kitanda, iko nasoma Biblia.

Mungu Anakuhangaikiaka

BIBLIA iko na mashauri ya muzuri sana juu inatoka kwa Mungu. Haiko kitabu ya matunzo, lakini inaweza kutusaidia mu njia mbalimbali tupiganishe hali zenye kuleta mahangaiko, mawazo yenye kuvunja moyo, hali ya kujisikia mubaya, na pia matatizo ya afya ya mwili na ya akili.

Jambo ya maana zaidi, Biblia inatuhakikishia kama Muumbaji wetu Yehova Mungu,a anaelewa muzuri mawazo yetu na namna tunajisikia kuliko mutu mwingine yeyote. Anapenda sana kutusaidia tupiganishe magumu yoyote yenye tunapata. Kwa mufano, fikiria hii maandiko mbili ya Biblia yenye kutia moyo:

“Yehova iko karibu na wale wenye kuvunjika moyo; anaokoa wale wenye kupondwa roho.”—ZABURI 34:18.

“Mimi, Yehova Mungu wako, ninashika mukono wako wa kuume, ni mimi mwenye kukuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’”—ISAYA 41:13.

Sasa, namna gani Yehova anatusaidiaka tupiganishe matatizo ya akili? Vile utaona mu habari zenye kufuata, Yehova anaonyesha kama anatuhangaikiaka kabisa mu njia mbalimbali.

a Yehova ni jina ya pekee ya Mungu.—Zaburi 83:18.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine