Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w25 Mwezi wa 9 uku. 32
  • Yesu “Alijifunza Kutii”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yesu “Alijifunza Kutii”
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Saidia Wengine Wawe Wenye ‘Kutii Kutoka Moyoni’
    Huduma Yetu ya Ufalme—2005
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
w25 Mwezi wa 9 uku. 32

MUSEMWA WA BIBLIA

Yesu “Alijifunza Kutii”

Yesu anakuwaka tu mutiifu kwa Baba yake. (Yoh. 8:29) Sasa juu ya nini Biblia inasema: “Alijifunza kutii kutokana na mambo yenye aliteseka”?—Ebr. 5:8.

Wakati alikuwa ku dunia alijikuta mu hali zenye hazikukuwa mbinguni. Alikomalishwa na bazazi benye balimupenda Yehova, lakini habakukuwa bakamilifu. (Lu. 2:51) Viongozi wa dini na wa serikali balimutendea mubaya. (Mt. 26:59; Mk. 15:15) Zaidi ya ile “alijinyenyekeza mwenyewe na kuwa mutiifu mupaka kifo,” kifo ya maumivu sana.—Flp. 2:8.

Ile mambo yote ilimufundisha Yesu utii mu njia ya mupya yenye hakujifunzaka wakati alikuwa mbinguni. Kwa hiyo, angekuwa sasa Mufalme muzuri na Kuhani Mukubwa muzuri mwenye angeweza kujitia fasi yetu. (Ebr. 4:15; 5:9) Na juu alijifunza utiifu kupitia mateso, Yehova alimupenda zaidi na alimutumikisha zaidi. Na siye Yehova atatupenda zaidi na kututumikisha zaidi kama tunaendelea kuwa batiifu mu hali za nguvu.—Yak. 1:4.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine