Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mrt habari 108
  • Yesu Atamaliza Umaskini

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yesu Atamaliza Umaskini
  • Habari Zingine
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yesu Atamaliza Vita
    Habari Zingine
  • Yesu Atamaliza Jeuri
    Habari Zingine
  • Ni Nani Unaweza Kutumainia?—Biblia Inasema Nini?
    Habari Zingine
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Habari Zingine
mrt habari 108
Mutu mwenye ananyoosha mikono ili kuomba.

panitan/stock.adobe.com

Yesu Atamaliza Umaskini

Wakati Yesu alikuwa ku dunia, alionyesha kama anapenda watu sana na alihangaikia sana maskini na wagonjwa. (Matayo 9:36) Yesu alitoa hata uzima wake juu ya wengine. (Matayo 20:28; Yohana 15:13) Hivi karibuni, Yesu ataonyesha tena kama anapenda watu sana, atatumia mamlaka yake akiwa Mufalme wa Ufalme wa Mungu juu ya kumaliza umaskini mu dunia yote.

Ona vile Biblia inaonyesha mambo yenye Yesu atafanya:

  • “Acha atetee watu wa hali ya chini katika taifa, acha aokoe wana wa maskini.”​—Zb. 72:4.

Namna gani tunaweza kuonyesha shukrani juu ya mambo yenye Yesu alishatufanyia na mambo yenye atatufanyia? Njia moya ya kuonyesha shukrani ni kujifunza mambo mingi zaidi juu ya “habari njema ya Ufalme wa Mungu;” ile habari njo Yesu alikuwa anahubiri. (Luka 4:43) Soma habari “Ufalme wa Mungu Ni Nini?”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine