Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ijwfq habari 28
  • Mashahidi wa Yehova Wanatoaka Sehemu ya Kumi?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mashahidi wa Yehova Wanatoaka Sehemu ya Kumi?
  • Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Biblia Inasema Nini Juu ya Kutoa Sehemu ya Kumi?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
ijwfq habari 28

Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana / Matendo/ Mashahidi wa Yehova Wanatoaka Sehemu ya Kumi?

Hapana, siye Mashahidi wa Yehova hatutoake sehemu ya kumi; makuta yenye tunatumiaka mu kazi yetu ni ile yenye siye wenyewe tunatoaka kwa kujipendea. Sehemu ya kumi ni nini, na juu ya nini Mashahidi wa Yehova hawatoake sehemu ya kumi?

Amri ya kutoa sehemu ya kumi, ilikuwa kati ya Amri zenye Yehova alipatiaka Waisraeli zamani. Lakini, Biblia inaonyesha waziwazi kama zile amri, kutia ndani amri ya “kukusanya sehemu moja za kumi,” hazihusu Wakristo leo.​—Waebrania 7:5, 18; Wakolosai 2:13, 14.

Kuliko kutoa sehumu moja ya kumi na matoleo, Mashahidi wa Yehova wanafuata mufano wa Wakristo wa kwanza na wanafanyaka mambo mbili juu kutegemeza ya kuhubiri: Kuhubiri habari njema bila kulipwa na kutoa michango kwa kujipendea.

Tunafuata maagizo yenye Biblia inatoa kwa Wakristo: “Kila mumoja afanye kama vile alikusudia katika moyo wake, haiko kwa kutokupenda wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu anapenda mutu mwenye anatoa kwa furaha”​—2 Wakorinto 9:7.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine