Maelezo ya Chini
b Labda Yezebeli aliogopa kwamba watoto wa Nabothi ndio wangeriti shamba hilo la mizabibu, ndiyo maana alisukumwa kuwaua pia. Ili kujua sababu gani Mungu anaruhusu matendo kama hayo ya kuwaonea wengine, soma habari yenye kichwa “Wasomaji Wetu Wanauliza” katika gazeti hili.