Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 66
  • Tuhubiri Habari Njema

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuhubiri Habari Njema
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Watiwa-Mafuta Ni Mali ya Pekee
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • “Habari Njema”!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 66

WIMBO 66

Tuhubiri Habari Njema

Maandishi

(Ufunuo 14:6, 7)

  1. 1. Zamani watu hawakujua siri

    ya Ufalme yenye sasa tunajua.

    Kwa sababu ya hali yetu ya zambi,

    Mungu alitusikilia huruma;

    Basi akasema kama Yesu Kristo

    njo akuwe Mufalme wa dunia yote.

    Na kisha akachagua kundi ndogo

    ili watawale pamoja na Yesu.

  2. 2. Mungu aliona kama ni muzuri

    ile habari ijulikane leo.

    Malaika wako natusaidia

    Wakati tuko nahubiri Ufalme.

    Na leo tuko na kazi kubwa sana

    Ya kuitakasa jina ya Mungu wetu.

    Ni pendeleo kuitwa Mashahidi

    Na kuhubiri ile habari njema.

(Ona pia Mk. 4:11; Mdo. 5:31; 1 Ko. 2:1, 7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine