WIMBO 84
Niko Tayari Kusaidia!
Maandishi
1. Eh! Yehova unajua
Mambo yenye ninapenda.
Na ulishanipatia
Kazi mingi ya kufanya.
(REFREE)
Napenda kufanya
Kazi ya Mungu.
Huku ao kule, taenda
Kusaidia.
2. Ninaenda kuhubiri
Fasi yote kwenye kuko
Lazima ya wahubiri.
Nitawahangaikia.
(REFREE)
Napenda kufanya
Kazi ya Mungu.
Huku ao kule, taenda
Kusaidia.
3. Najifunza luga mupya
Ili nifundishe kweli.
Na mu kazi ya kujenga
Najitoa kwa bidii.
(REFREE)
Napenda kufanya
Kazi ya Mungu.
Huku ao kule, taenda
Kusaidia.
(Ona pia Yoh. 4:35; Mdo. 2:8; Ro. 10:14.)