Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 1 uku. 4-5
  • Ni Kitabu Gani Chenye Kinatusaidia Kumusikiliza Mungu?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ni Kitabu Gani Chenye Kinatusaidia Kumusikiliza Mungu?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sehemu ya 1
    Umusikilize Mungu
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Maulizo juu ya habari za Biblia yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Biblia: Kitabu Kutoka kwa Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 1 uku. 4-5

SEHEMU YA 1

Ni Kitabu Gani Chenye Kinatusaidia Kumusikiliza Mungu?

Mungu anasema na sisi kupitia Biblia. 2 Timoteo 3:16

Akiwa kwenye kiti chake cha ufalme huko mbinguni, Yehova anatumia roho yake ili kuongoza watu waandike Biblia

Mungu wa kweli aliongoza watu waandike mawazo yake mu kitabu kimoja kitakatifu. Kile kitabu ni Biblia. Kiko na habari za maana sana zenye Mungu anapenda ujue.

Mungu anajua mambo yenye kuwa ya muzuri kwetu, na ni yeye njo anaweza kutupatia hekima ya kweli. Kama unamusikiliza, utakuwa na hekima kabisa.​—Mezali 1:5.

Biblia mu luga za mingi; mwanaume mumoja anasoma Biblia mu luga yake

Mungu anapenda kila mutu ku dunia asome Biblia. Biblia inapatikana sasa mu luga za mingi.

Kama unapenda kumusikiliza Mungu, unapaswa kusoma Biblia na kuielewa ao kuisikia muzuri.

Watu wa kila mahali wanamusikiliza Mungu. Matayo 28:19

Shahidi mumoja wa Yehova anasomea mwanaume mumoja Biblia, kisha anajifunza naye Biblia

Mashahidi wa Yehova wanaweza kukusaidia kuelewa Biblia.

Wanafundisha kweli juu ya Mungu mu dunia yote.

Mukutano ku Jumba la Ufalme la Mashahidi wa Yehova

Hautalipa kitu ili wakufundishe. Tena, unaweza kujifunza juu ya Mungu ku Jumba la Ufalme la Mashahidi wa Yehova lenye kuwa karibu na kwenye unaishi.

  • Neno la Mungu ni kweli.​—Yohana 17:17.

  • Juu ya nini tunaweza kumutumainia Mungu?​—Hesabu 23:19.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine