Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Tarehe 20-26 Mwezi wa 2
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha—2017 | Mwezi wa 2
    • Tarehe 20-26/02

      ISAYA 58-62

      • Wimbo 142 na Sala

      • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

      UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

      • ‘Tangaza Mwaka wa nia Njema wa Yehova’: (Dak. 10)

        • Isa 61:1, 2—Yesu alichaguliwa ili ‘kutangaza mwaka wa nia njema wa Yehova’ (ip-2 uku. 322 fu. 4)

        • Isa 61:3, 4—Yehova anatoa “miti mikubwa ya uadilifu [haki]” ili kutegemeza kazi yake (ip-2 uku. 326-327 fu. 13-15)

        • Isa 61:5, 6—“Wageni” wanaunga mukono “makuhani wa Yehova” ili kufanya kazi kubwa zaidi ya kutoa ushahidi (w12 15/12 uku. 25 fu. 5-6)

      • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

        • Isa 60:17—Ni katika njia gani Yehova ametimiza ahadi hii katika siku za mwisho? (w15 15/7 uku. 6-8 fu. 14-17)

        • Isa 61:8, 9—‘Agano linalodumu mupaka wakati usio na kipimo’ ni nini, na “uzao” ni nani? (w07 15/1 uku. 11 fu. 5)

        • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

        • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri

      • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 62:1-12

      TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

      • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) g17.1 habari kubwa

      • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) g17.1 habari kubwa

      • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bhs uku. 16 fu. 19—Kama inawezekana, mama ajifunze na mutoto yake mwanamuke.

      MAISHA YA MUKRISTO

      • Wimbo 47

      • Tumia Video Katika Mahubiri: (Dak. 6) Hotuba. Muangalie video Ufalme wa Mungu Ni Nini? Tia ndugu na dada moyo watumie video hiyo pamoja na vichapo vya kutolea watu katika Mwezi wa 3 na wa 4, wakati wanamutembelea mutu mara ya kwanza ao wakati wanamurudilia.

      • “Tutumie Vichapo Vyetu kwa Hekima”: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video Namna Vichapo Vinapelekwa Katika Maeneo Mbalimbali ya Congo.

      • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 8 fu. 14-18, na visanduku “Kuharakisha Kazi Ya Kutafsiri Biblia” na “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”

      • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

      • Wimbo 114 na Sala

  • Tutumie Vichapo Vyetu kwa Hekima
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha—2017 | Mwezi wa 2
    • Mwanamuke mumoja anasikiliza Mashahidi wa Yehova wenye wanamutolea broshua Habari Njema Inayotoka kwa Mungu

      MAISHA YA MUKRISTO

      Tutumie Vichapo Vyetu kwa Hekima

      Yesu alifundisha hivi: ‘Mulipokea bure, mutoe bure.’ (Mt 10:8) Tunafuata muongozo huo wa Yesu wakati tunatolea watu Biblia na vichapo vyetu vingine vyenye kutegemea Biblia. (2Kor 2:17) Ni wazi kwamba vichapo hivyo viko na kweli za maana za Neno la Mungu. Inaomba kazi na feza nyingi sana ili kuvichapisha na kuvifikisha katika makutaniko ya dunia yote. Ndiyo sababu tunapaswa kuchukua tu vichapo vyenye tuko navyo lazima kabisa.

      Tutumie utambuzi wakati tunatolea watu vichapo, hata wakati tunahubiri mahali pa watu wengi. (Mt 7:6) Kuliko tu kupatia-patia wapita-njia vichapo, tujikaze kuzungumuza nao ili kujua kama wanapendezwa. Kati ya maulizo yenye kuwa katika kisanduku hapa pembeni, unaweza kujibia ndiyo hata kwa ulizo moja? Ikiwa hautambue kama mutu anapendezwa, ni muzuri zaidi kumuachia trakte. Lakini kama mutu huyo anakuomba gazeti ao kichapo kingine, unaweza kumupatia.—Met 3:27, 28.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine