Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 13
  • Kristo Ni Mufano Muzuri

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kristo Ni Mufano Muzuri
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Uishi Kulingana na Sala ya Mufano—Sehemu ya 1
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • “Mufuate Hatua Zake kwa Ukaribu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Tumusifu Muzaliwa wa Kwanza wa Yehova!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuko na Shukrani Juu ya Bei ya Ukombozi
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 13

WIMBO 13

Kristo Ni Mufano Muzuri

Maandishi

(1 Petro 2:21)

  1. 1. Yehova ni mwema

    na mwenye upendo,

    Alimutuma Yesu ku dunia.

    Kusudi akufe

    na kutukomboa,

    Na kutukuza jina ya Mungu.

  2. 2. Kristo alipenda

    Neno ya Yehova.

    Kwake ilikuwa kama chakula.

    Ilimupatia

    hekima na nguvu,

    Alimufurahisha Yehova.

  3. 3. Yesu ni mufano

    muzuri kabisa.

    Na kama yeye, tumusifu Mungu;

    Tena tufuate

    njia yake yote.

    Kisha Mungu atatubariki.

(Ona pia Yoh. 8:29; Efe. 5:2; Flp. 2:5-7.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine