Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 12
  • Yehova Ni Mungu Mukubwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Ni Mungu Mukubwa
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mumupatie Yehova Utukufu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuimbe Wimbo Mupya
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mahali Penye Kutakuletea Sifa
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 12

WIMBO 12

Yehova Ni Mungu Mukubwa

Maandishi

(Kutoka 34:6, 7)

  1. 1. Mungu Mukubwa, unastahili

    Kusifiwa milele,

    uko mwenye upendo,

    Mwenye hekima na mwenye haki.

    Uko na nguvu mingi.

  2. 2. Tuko mavumbi, lakini weye

    Unatusikiliza

    wakati tunasali.

    Unafundisha na kuongoza

    Watu wako milele.

  3. 3. Tunakusifu kwa nyimbo zetu;

    Na malaika nao

    wote wanakusifu.

    Mungu Mukubwa, mwenye huruma,

    Pokea sifa zetu.

(Ona pia Kum. 32:4; Mez. 16:12; Mt. 6:10; Ufu. 4:11.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine