WIMBO 12
Yehova Ni Mungu Mukubwa
Maandishi
1. Mungu Mukubwa, unastahili
Kusifiwa milele,
uko mwenye upendo,
Mwenye hekima na mwenye haki.
Uko na nguvu mingi.
2. Tuko mavumbi, lakini weye
Unatusikiliza
wakati tunasali.
Unafundisha na kuongoza
Watu wako milele.
3. Tunakusifu kwa nyimbo zetu;
Na malaika nao
wote wanakusifu.
Mungu Mukubwa, mwenye huruma,
Pokea sifa zetu.
(Ona pia Kum. 32:4; Mez. 16:12; Mt. 6:10; Ufu. 4:11.)