WIMBO 49
Tufurahishe Moyo wa Yehova
Maandishi
1. Yehova tuko tayari
Kufanya mapenzi yako.
Tutafanya yetu yote
Ili tukufurahishe.
2. Mutumwa muaminifu
Anakutolea sifa.
Tena anatufundisha
Ili tukutumikie.
3. Tupatie roho yako
Kusudi tuendelee
Kuisifu jina yako,
Tena tukufurahishe.
(Ona pia Mt. 24:45-47; Lu. 11:13; 22:42.)