Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 49
  • Tufurahishe Moyo wa Yehova

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tufurahishe Moyo wa Yehova
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sema Vile Unajisikiaka
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Ulijua?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Somo 3
    Ninajifunza Biblia
  • Kujitayarisha juu ya Kuhubiri
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 49

WIMBO 49

Tufurahishe Moyo wa Yehova

Maandishi

(Mezali 27:11)

  1. 1. Yehova tuko tayari

    Kufanya mapenzi yako.

    Tutafanya yetu yote

    Ili tukufurahishe.

  2. 2. Mutumwa muaminifu

    Anakutolea sifa.

    Tena anatufundisha

    Ili tukutumikie.

  3. 3. Tupatie roho yako

    Kusudi tuendelee

    Kuisifu jina yako,

    Tena tukufurahishe.

(Ona pia Mt. 24:45-47; Lu. 11:13; 22:42.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine