Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 125
  • “Wenye Furaha Ni Wale Wenye Rehema!”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Wenye Furaha Ni Wale Wenye Rehema!”
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tunatumikia Mungu Mwenye Iko “Tajiri Katika Rehema”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Anakumbuka Kwamba “Sisi Ni Mavumbi”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 125

WIMBO 125

“Wenye Furaha Ni Wale Wenye Rehema!”

Maandishi

(Matayo 5:7)

  1. 1. Mungu ni mwenye rehema,

    Tena ni mwenye furaha.

    Anatutimiziaka

    Mahitaji yetu yote.

    Tena tukitubu zambi,

    Kweli atatusamehe.

    Anakumbuka ya kama

    Siye hatukamilike.

  2. 2. Kama tunafanya zambi,

    Kweli tutubu kabisa.

    Yesu alituambia

    Tusali kwa baba yake;

    Naye atatusamehe

    Tukisamehe wengine.

    Kama tunafanya vile

    Tutakuwa na amani.

  3. 3. Tukisaidia watu

    Wenye hawana uwezo,

    Ikuwe kwa moyo wote,

    Hapana kwa kujisifu.

    Mungu iko anaona.

    Yeye njo atatulipa.

    Anafurahi kabisa

    Tukionyesha rehema.

(Ona pia Mt. 6:2-4, 12-14.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine