- Habari za Kufanana na Zile
EZEKIELI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Moto unakamatwa kutoka katikati ya magurudumu (1-8)
Maelezo kuhusu makerubi na magurudumu (9-17)
Utukufu wa Mungu unaondoka katika hekalu (18-22)
11
Wakubwa waovu wanalaumiwa (1-13)
Ahadi ya kurudishwa (14-21)
Utukufu wa Yehova unaondoka Yerusalemu (22, 23)
Ezekieli anarudia Ukaldayo katika maono (24, 25)
12
13
14
15
16
17
18
19
20
Historia ya uasi wa Israeli (1-32)
Ahadi ya kurudishwa kwa Israeli (33-44)
Unabii juu ya kusini (45-49)
21
Upanga wa hukumu wa Mungu unachomolewa kutoka katika mufuko wake (1-17)
Mufalme wa Babiloni atashambulia Yerusalemu (18-24)
Mukubwa muovu wa Israeli ataondolewa (25-27)
Upanga juu ya Waamoni (28-32)
22
Yerusalemu, muji wenye hatia ya damu (1-16)
Israeli kama takataka yenye haina mafaa yoyote (17-22)
Viongozi na watu wa Israeli wanalaumiwa (23-31)
23
24
25
Unabii juu ya Amoni (1-7)
Unabii juu ya Moabu (8-11)
Unabii juu ya Edomu (12-14)
Unabii juu ya Ufilisti (15-17)
26
27
28
Unabii juu ya mufalme wa Tiro (1-10)
Wimbo wa huzuni kuhusu mufalme wa Tiro (11-19)
“Ulikuwa katika Edeni” (13)
“Kerubi mwenye kutiwa mafuta mwenye anafunika” (14)
‘Ukosefu wa haki ulipatikana ndani yako’ (15)
Unabii juu ya Sidoni (20-24)
Israeli watarudishwa (25, 26)
29
30
31
32
33
Madaraka ya mulinzi (1-20)
Habari kuhusu kuanguka kwa Yerusalemu (21, 22)
Ujumbe kwa wakaaji wa mabomoko ya Yerusalemu (23-29)
Watu hawatende kulingana na ujumbe huo (30-33)
34
35
36
37
38
39
Gogu na wanajeshi wake wanaharibiwa (1-10)
Maziko katika Bonde la Hamoni-Gogu (11-20)
Kurudishwa kwa Israeli (21-29)
40
Ezekieli analetwa Israeli katika maono (1, 2)
Ezekieli anaona hekalu la maono (3, 4)
Viwanja na milango mikubwa (5-47)
Mulango mukubwa wa inje wa mashariki (6-16)
Kiwanja cha inje; milango ingine mikubwa (17-26)
Kiwanja cha ndani na milango mikubwa (27-37)
Vyumba kwa ajili ya utumishi wa hekalu (38-46)
Mazabahu (47)
Baraza la hekalu (48, 49)
41
Patakatifu pa hekalu (1-4)
Ukuta na vyumba vya pembeni (5-11)
Jengo la upande wa mangaribi (12)
Majengo yanapimwa (13-15a)
Sehemu ya ndani ya patakatifu (15b-26)
42
43
44
Mulango mukubwa wa mashariki unapaswa kubakia wenye kufungwa (1-3)
Maagizo kuhusu wageni (4-9)
Maagizo kwa ajili ya Walawi na makuhani (10-31)
45
Muchango mutakatifu na muji (1-6)
Sehemu ya mukubwa (7, 8)
Wakubwa wanapaswa kutenda kwa unyoofu (9-12)
Michango ya watu na ya mukubwa (13-25)
46
Matoleo ya nyakati mbalimbali (1-15)
Kuriti sehemu ya udongo ya mukubwa (16-18)
Mahali pa kutokoteshea matoleo (19-24)
47
48