- Habari za Kufanana na Zile
MATENDO
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Ujumbe kwa Teofilo (1-5)
Mashahidi mupaka kwenye miisho ya dunia (6-8)
Yesu anapanda mbinguni (9-11)
Wanafunzi wanakusanyika kwa umoja (12-14)
Matia anachaguliwa ili achukue nafasi ya Yuda (15-26)
2
Roho takatifu inamwangwa siku ya Pentekoste (1-13)
Hotuba ya Petro (14-36)
Watu wengi wanaitikia muzuri hotuba ya Petro (37-41)
Ushirika wa Kikristo (42-47)
3
4
Petro na Yohana wanakamatwa (1-4)
Wanasambishwa mbele ya Sanhedrini (5-22)
Wanasali ili wasikuwe na woga (23-31)
Wanafunzi wanachangia pamoja vitu vyao (32-37)
5
Anania na Safira (1-11)
Mitume wanafanya alama nyingi (12-16)
Wanafungwa katika gereza, kisha wanaachiliwa (17-21a)
Wanapelekwa tena mbele ya Sanhedrini (21b-32)
Shauri la Gamalieli (33-40)
Kuhubiri nyumba kwa nyumba (41, 42)
6
7
8
Sauli mutesaji (1-3)
Utumishi wa Filipo unakuwa na matokeo ya muzuri katika Samaria (4-13)
Petro na Yohana wanatumwa Samaria (14-17)
Simoni anajaribu kununua roho takatifu (18-25)
Towashi Mwetiopia (26-40)
9
Sauli akiwa katika njia kuelekea Damasko (1-9)
Anania anatumwa ili kusaidia Sauli (10-19a)
Sauli anahubiri juu ya Yesu katika Damasko (19b-25)
Sauli anatembelea Yerusalemu (26-31)
Petro anamuponyesha Ainea (32-35)
Dorkasi mwenye ukarimu anafufuliwa (36-43)
10
Maono ya Kornelio (1-8)
Maono ya Petro juu ya wanyama wenye wametakaswa (9-16)
Petro anamutembelea Kornelio (17-33)
Petro anatangazia watu wa mataifa habari njema (34-43)
Watu wa mataifa wanapokea roho takatifu na wanabatizwa (44-48)
11
Petro anatoa ripoti kwa mitume (1-18)
Barnaba na Sauli katika Antiokia ya Siria (19-26)
Agabo anatabiri juu ya njaa (27-30)
12
Yakobo anauawa; Petro anafungwa katika gereza (1-5)
Petro anawekwa huru kwa njia ya muujiza (6-19)
Malaika anamupiga Herode (20-25)
13
Barnaba na Sauli wanatumwa wakiwa wamisionere (1-3)
Utumishi katika Kipro (4-12)
Hotuba ya Paulo kule Antiokia ya Pisidia (13-41)
Amri ya kiunabii ya kugeuka ili kuendea mataifa (42-52)
14
Ongezeko na upinzani kule Ikoniamu (1-7)
Wanazaniwa kuwa miungu kule Listra (8-18)
Paulo anaokoka kufa kisha kupigwa majiwe (19, 20)
Kutia nguvu makutaniko (21-23)
Wanarudia Antiokia ya Siria (24-28)
15
Bishano katika Antiokia juu ya kutahiriwa (1, 2)
Jambo hilo linapelekwa Yerusalemu (3-5)
Wazee na mitume wanakutana pamoja (6-21)
Barua kutoka kwa baraza lenye kuongoza (22-29)
Makutaniko yanatiwa moyo kupitia barua (30-35)
Paulo na Barnaba wanatengana (36-41)
16
Paulo anamuchagua Timoteo (1-5)
Maono juu ya mwanaume Mumakedonia (6-10)
Lidia anakuwa muamini kule Filipi (11-15)
Paulo na Sila wanafungwa katika gereza (16-24)
Mulinzi wa gereza na nyumba yake yote wanabatizwa (25-34)
Paulo anataka wamuombe musamaha (35-40)
17
Paulo na Sila katika Tesalonike (1-9)
Paulo na Sila katika Beroya (10-15)
Paulo katika Atene (16-22a)
Hotuba ya Paulo kwenye Areopago (22b-34)
18
Utumishi wa Paulo katika Korinto (1-17)
Kurudia Antiokia ya Siria (18-22)
Paulo anaenda Galatia na Frigia (23)
Apolo mwenye anajua kusema anasaidiwa (24-28)
19
Paulo katika Efeso; watu fulani wanabatizwa tena (1-7)
Paulo anahangaikia sana kazi ya kufundisha (8-10)
Matokeo ya muzuri hata kama kuko pepo wachafu (11-20)
Muvurugo katika Efeso (21-41)
20
Paulo katika Makedonia na Ugiriki (1-6)
Eutiko anafufuliwa kule Troa (7-12)
Kutoka Troa kuenda Mileto (13-16)
Paulo anakutana na wazee wa Efeso (17-38)
21
Safari ya kuenda Yerusalemu (1-14)
Kufika Yerusalemu (15-19)
Paulo anafuata shauri la wazee (20-26)
Muvurugo katika hekalu; Paulo anakamatwa (27-36)
Paulo anaruhusiwa kusema na watu wengi (37-40)
22
Paulo anajitetea mbele ya watu wengi (1-21)
Paulo anatumia uraia wake wa Roma (22-29)
Sanhedrini inakusanywa (30)
23
Paulo anasema mbele ya Sanhedrini (1-10)
Bwana anamutia Paulo nguvu (11)
Mupango wa kumuua Paulo (12-22)
Paulo anapelekwa Kaisaria (23-35)
24
Mashitaka juu ya Paulo (1-9)
Paulo anajitetea mbele ya Feliksi (10-21)
Kesi ya hukumu ya Paulo inacheleweshwa kwa miaka mbili (22-27)
25
Kesi ya hukumu ya Paulo mbele ya Festo (1-12)
Festo anazungumuza na Mufalme Agripa (13-22)
Paulo mbele ya Agripa (23-27)
26
Paulo anajitetea mbele ya Agripa (1-11)
Paulo anaeleza namna aligeuka kuwa muamini (12-23)
Festo na Agripa wanatoa mawazo yao (24-32)
27
Paulo anasafiri katika bahari kuenda Roma (1-12)
Zoruba inapiga mashua (13-38)
Mashua inavunjika (39-44)
28
Kwenye inchi kavu kule Malta (1-6)
Baba ya Publio anaponyeshwa (7-10)
Kuelekea Roma (11-16)
Paulo anazungumuza na Wayahudi kule Roma (17-29)
Paulo anahubiri bila woga kwa miaka mbili (30, 31)