Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Mwaka wa 2017
Amuka! ni gazeti lenye linapendeza watu wengi na lenye linagawanywa sana katika dunia kuliko magazeti mengine!
Zaidi ya kopi milioni 360 katika luga zaidi ya 100!
AFYA NA MATUNZO
Vijana Wanashuka Moyo: Na. 1
DINI
Biblia Inatoka Kabisa Kwa Mungu? Na. 3
INCHI NA WATU
MAHUSIANO NA WANADAMU
Faida ya Kazi za Nyumbani (wazazi): Na. 3
‘Jina Nzuri Ni Afazali Kuliko Utajiri Mwingi’: Na. 4
Kufundisha Watoto Unyenyekevu (wazazi): Na. 6
Namna ya Kuonyesha Shukrani (ndoa): Na. 1
Ni Muzuri Kujitia Katika Hatari ili Kutafuta Musisimuko? (vijana): Na. 5
Tabasamu Yako Ni Zawadi Yenye Unaweza Kutoa: Na. 1
Wakati Muzazi Anakufa (vijana): Na. 2
Wakati Watoto Hawako Tena Nyumbani (ndoa): Na. 4
Wakati Watoto Wanaonyesha Huzuni: Na. 2
MAMBO MENGINE
Hatari ya Kujifurahisha na Mambo ya Mashetani Na. 2
Namna Tunaweza Kuepuka Kutumia Vitu Ovyoovyo: Na. 5
Unafanya Mambo Mengi? Na. 4
MASHAHIDI WA YEHOVA
“Tuliguswa Moyo Kuona Upendo Kama Huo” (tetemeko la dunia katika Nepali): Na. 1
MATUKIO NA HALI YA ULIMWENGU
MAWAZO YA BIBLIA
SAYANSI
Manyoya ya Fisi-Maji wa Bahari: Na. 3
Mufumo wa Neva wa Matumbo: Na. 3
Ngao Yenye Kulinda na Joto ya Siafu wa Rangi ya Feza wa Sahara: Na. 1
Rangi ya Bluu Yenye Kuangara ya Beri ya Pollia: Na. 4
Umbo la Makombe: Na. 5
Uwezo wa Kutua wa Nyuki: Na. 2
SEHEMU YA KUULIZA MAULIZO
Mutengenezaji wa Programu za Ordinatere Anafasiria Imani Yake (Fan Yu): Na. 3
Mwanasayansi wa Magonjwa ya Ubongo Anafasiria Imani Yake (Rajesh Kalaria): Na. 4
WANYAMA NA MIMEA
Membe wa Aktiki: Na. 4
WATU WA MAANA KATIKA HISTORIA
Alhazen: Na. 6