Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp16 na. 6 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mungu anajibiaka sala zote?
  • Tunapaswa kuwa katika hali fulani wakati tunasali?
  • Sala Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Namna ya Kumukaribia Mungu Katika Sala
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Je, Mungu Atajibu Sala Zangu?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Kumukaribia Mungu Karibu Katika Sala
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
wp16 na. 6 uku. 16

Biblia Inasema Nini?

Mungu anajibiaka sala zote?

UNAWEZA KUSEMA KAMA ANAJIBIAKA SALA ZA. . .

  • Kila mutu

  • Watu fulani

  • Ao, hajibiake hata sala ya mutu yeyote

MAMBO BIBLIA INASEMA

“Yehova yuko karibu na wote . . . wanaomwitia yeye katika ukweli.”—Zaburi 145:18.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Mungu hasikilize sala za watu wenye wanakataa kumutii. (Isaya 1:15) Lakini, wanaweza ‘kunyoosha mambo’ pamoja naye kwa kubadilisha njia zao.—Isaya 1:18.

  • Ili Mungu ajibie sala fulani, inapaswa kupatana na mambo yenye anaomba kama vile inaonyeshwa katika Biblia.—1 Yohana 5:14.

Tunapaswa kuwa katika hali fulani wakati tunasali?

WATU FULANI WANAAMINI kama kila mara wanapaswa kupiga magoti, kuinamisha kichwa, ao kutia mikono yao pamoja wakati wanasali. Wewe unawaza namna gani?

MAMBO BIBLIA INASEMA

Mungu alikubali sala za watu wenye walikuwa wenye ‘kuketi [ao, kukaa]’ ao wenye ‘kusimama’ ao za wale wenye ‘kulala kifudifudi’ ao ‘kupiga magoti.’ (1 Mambo ya Nyakati 17:16; 2 Mambo ya Nyakati 30:27; Ezra 10:1; Matendo 9:40) Mungu hatuombe tukuwe katika hali fulani wakati tunasali.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Mungu anasikiliza sala za watu wenye kuwa wanyekekevu.—Zaburi 138:6.

  • Unaweza kusali katika luga yoyote, na hata bila kutoa sauti.—2 Mambo ya Nyakati 6:32, 33; Nehemia 2:1-6.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 17 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine