Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 10/13 uku. 4
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Njia Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—2014
  • Utoaji Mbalimbali
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2013
km 10/13 uku. 4

Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Trakte Habari ya Ufalme Na. 38

“Ulimwenguni pote tunawatolea watu trakte hii iliyo na ujumbe wa maana. Chukua yako.”

Tangazo: Ili kutolea watu wa eneo trakte hiyo, ni vizuri tuseme maneno machache. Hata hivyo, wakati fulani, musikilizaji anaweza kupendezwa kabisa na ujumbe na kutaka mazungumuzo yaendelee. Ikiwa ni hivyo, unaweza kumuuliza maoni yake kuhusu ulizo lililo kwenye ukurasa wa kwanza wa trakte, kisha unaweza kumusomea jibu la Biblia lililo ndani na kuzungumuzia habari moja kati ya habari zilizo katika trakte ikiwa wakati unaruhusu. Mbele ya kuachana naye, umuonyeshe ulizo lililo chini ya sehemu “Pengine Unajiuliza,” na ufanye mipango ya kumurudilia ili kuzungumuzia ulizo hilo.

Munara wa Mulinzi 01/11/13

“Kwa maoni yako, watu wamesema uongo mukubwa gani kumuhusu Mungu? [Acha mutu ajibu.] Kulingana na Biblia, Mungu anataka watu wamupende na kumutumainia. [Soma Isaya 41:13.] Gazeti hili linafunua mambo matatu ya uongo yanayosemwa kumuhusu Mungu ambayo yamefanya iwe vigumu kwa watu kumukaribia.”

Amuka! Mwezi wa 11

“Tunawatembelea watu ili kuzungumuza nao kwa muda mufupi kuhusu kanuni za mwenendo safi. Watu wengi wanaogopa kwamba kanuni hizo haziheshimiwe tena. Unawaza kwamba watu wamepuuza kanuni za jamii za mwenendo safi? [Acha mutu ajibu.] Biblia ilitabiri kwamba katika siku za mwisho watu watakuwa na mwenendo na tabia mbaya. [Soma 2 Timotheo 3:1-5.] Gazeti hili linaeleza sababu gani tunaweza kutegemea kanuni za mwenendo safi zinazopatikana katika Biblia.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine