Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 12/14 uku. 6
  • Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2014
Huduma Yetu ya Ufalme—2014
km 12/14 uku. 6

Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi

Maulizo yanayofuata yatatumiwa kwenye Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi katika juma la tarehe 29 Mwezi 12, 2014.

  1. Namna gani tunaona amri iliyo kwenye andiko la Kumbukumbu la Torati 14:1 ambayo inakataza kujikatakata wakati wa kilio juu ya mutu aliyekufa? [Juma la tarehe 3 Mwezi wa 11, w04 15/9 uku. 27 fu. 5]

  2. Sababu gani wafalme wa Israeli walipaswa kuandika Sheria ya Mungu na ‘kuisoma siku zote za maisha yao’? (Kum. 17:18-20) [Juma la tarehe 3 Mwezi wa 11, w02 15/6 uku. 12 fu. 4]

  3. Sababu gani Sheria ilisema kwamba mutu ‘asilime kwa ngombe-dume na punda pamoja,’ na namna gani amri kuhusu kufunga nira inatumiwa kwa Wakristo? (Kum. 22:10) [Juma la tarehe 10 Mwezi wa 11, w03 15/10 uku. 32]

  4. Sababu gani sheria ilikataza kumunyanganya mutu ‘jiwe la kusagia la mukononi ao jiwe lake la juu la kusagia’ kwa sababu ya deni? (Kum. 24:6) [Juma la tarehe 17 Mwezi wa 11, w04 15/9 uku. 26 fu. 3]

  5. Waisraeli walipaswa kumutumikia Yehova wakiwa na mutazamo gani, na ni nini inapaswa kutuchochea tumutumikie Yehova? (Kum. 28:47) [Juma la tarehe 24 Mwezi wa 11, w10 15/9 uku. 8 fu. 4]

  6. Ni mambo gani matatu ya maana sana yanayoombwa kwenye Kumbukumbu la Torati 30:19, 20 ili mutu aendelee kuishi? [Juma la tarehe 24 Mwezi wa 11, w10 15/2 uku. 28 fu. 17]

  7. Je, tunaombwa kusoma maandiko yote ya Biblia kuanzia Mwanzo mupaka Ufunuo kwa sauti ya chini? Eleza. (Yos. 1:8) [Juma la tarehe 8 Mwezi wa 12, w13 15/4 uku. 7 fu. 4]

  8. ‘Mukuu wa jeshi la Yehova’ anayetajwa kwenye Yoshua 5:14, 15 ni nani, na habari hii inaweza kututia moyo namna gani? [Juma la tarehe 8 Mwezi wa 12, w04 1/12 uku. 9 fu. 2]

  9. Ni nini ilimufanya Akani aangukie katika zambi, na tunaweza kujifunza nini kutokana na mufano wake mubaya? (Yos. 7:20, 21) [Juma la tarehe 15 Mwezi wa 12, w10 15/4 uku. 20-21 fu. 2, 5]

  10. Namna gani mufano wa Kalebu unatutia moyo leo? (Yos. 14:10-13) [Juma la tarehe 29 Mwezi wa 12, w04 1/12 uku. 12 fu. 2]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine