Musa na Haruni wako mbele ya Farao
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZAa
Ulizo: Tunaishi mu siku za mwisho?
Andiko: 2Ti 3:1-5
Ulizo la Kuachia Mutu: Nini njo itatokea kisha siku za mwisho?
○● KUMURUDILIA MUTU
Ulizo: Nini njo itatokea kisha siku za mwisho?
Andiko: Ufu 21:3, 4
Ulizo la Kuachia Mutu: Tunaweza kufanya nini ili tupate ile maisha yenye Mungu ametuahidi?
a Kuanzia hii mwezi, namna ya kuanzisha mazungumuzo itakuwa tu na sehemu mbili: kumutembelea mutu mara ya kwanza na kumurudilia mutu.