Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp21 na. 1 uku. 16
  • Mungu Anasikiaka Sala Zako?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anasikiaka Sala Zako?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2021
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • BIBLIA INASEMA NINI?
  • Mungu Anasikiaka Sala Zetu?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2021
  • Sababu Gani Mungu Anatuomba Tusali?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Sala Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Kuko Mutu Mwenye Kusikiliza Sala?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2021
wp21 na. 1 uku. 16

Mungu Anasikiaka Sala Zako?

Wakati unasali, unakuwaka hakika kama Mungu anakusikiaka?

BIBLIA INASEMA NINI?

Mwanamuke mumoja iko anasoma Biblia.
  • Mungu anasikilizaka sala. Biblia inatuhakikishia kama “Yehova iko karibu na wale wote wenye kumuitia, wote wenye kumuitia katika ukweli. . . . Anasikia kilio chao cha kuomba musaada.”​—Zaburi 145:18, 19.

  • Mungu anapenda usali kwake. Biblia inatutia moyo hivi: “Katika kila jambo kwa sala na sala ya kumulilia Mungu pamoja na kutoa shukrani, maombi yenu yajulishwe Mungu.”​—Wafilipi 4:6.

  • Mungu anakuhangaikia kabisa. Mungu anajua muzuri mahangaiko yetu na magumu yetu, na anapenda kutusaidia. “Mumutupie mahangaiko yenu yote, kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.”​—1 Petro 5:7.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine