Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 80
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mchungaji wa Israeli atafutwa ili awarudishe

        • “Ee Mungu, turudishe” (3)

        • Israeli, mzabibu wa Mungu (8-15)

Zaburi 80:utangulizi

Marejeo

  • +1Nya 25:1

Zaburi 80:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “katikati ya.”

  • *

    Au “Funua uangavu wako.”

Marejeo

  • +Zb 77:20; Isa 40:11; Yer 31:10; Eze 34:12; 1Pe 2:25
  • +Kut 25:20, 22; 1Sa 4:4

Zaburi 80:2

Marejeo

  • +Isa 42:13
  • +Isa 25:9

Zaburi 80:3

Marejeo

  • +Zb 85:4; Omb 5:21
  • +Hes 6:25; Zb 67:1, 2

Zaburi 80:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuwaka hasira dhidi ya.”

Marejeo

  • +Zb 74:1; 85:5; Omb 3:44

Zaburi 80:6

Marejeo

  • +Zb 44:13; 79:4

Zaburi 80:7

Marejeo

  • +Zb 80:3, 19

Zaburi 80:8

Marejeo

  • +Isa 5:7
  • +Zb 44:2; 78:55; Yer 2:21

Zaburi 80:9

Marejeo

  • +Kut 23:28, 30; Yos 24:12, 13; 1Fa 4:25

Zaburi 80:11

Marejeo

  • +Mwa 15:18; Kut 23:31; 1Fa 4:21; Zb 72:8

Zaburi 80:12

Marejeo

  • +Isa 5:5
  • +Nah 2:2

Zaburi 80:13

Marejeo

  • +2Fa 18:9; 24:1; 25:1; 2Nya 32:1; Yer 39:1

Zaburi 80:14

Marejeo

  • +Isa 63:15

Zaburi 80:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Shina kuu la mzabibu.”

  • *

    Au “ulitazame tawi ambalo umelitia nguvu.”

Marejeo

  • +Isa 5:7; Yer 2:21
  • +Kut 4:22; Isa 49:5

Zaburi 80:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa kemeo la uso wako.”

Marejeo

  • +Zb 79:5; Yer 52:12, 13

Zaburi 80:17

Marejeo

  • +Zb 89:20, 21

Zaburi 80:19

Marejeo

  • +Zb 80:7

Jumla

Zab. 80:utangulizi1Nya 25:1
Zab. 80:1Zb 77:20; Isa 40:11; Yer 31:10; Eze 34:12; 1Pe 2:25
Zab. 80:1Kut 25:20, 22; 1Sa 4:4
Zab. 80:2Isa 42:13
Zab. 80:2Isa 25:9
Zab. 80:3Zb 85:4; Omb 5:21
Zab. 80:3Hes 6:25; Zb 67:1, 2
Zab. 80:4Zb 74:1; 85:5; Omb 3:44
Zab. 80:6Zb 44:13; 79:4
Zab. 80:7Zb 80:3, 19
Zab. 80:8Isa 5:7
Zab. 80:8Zb 44:2; 78:55; Yer 2:21
Zab. 80:9Kut 23:28, 30; Yos 24:12, 13; 1Fa 4:25
Zab. 80:11Mwa 15:18; Kut 23:31; 1Fa 4:21; Zb 72:8
Zab. 80:12Isa 5:5
Zab. 80:12Nah 2:2
Zab. 80:132Fa 18:9; 24:1; 25:1; 2Nya 32:1; Yer 39:1
Zab. 80:14Isa 63:15
Zab. 80:15Isa 5:7; Yer 2:21
Zab. 80:15Kut 4:22; Isa 49:5
Zab. 80:16Zb 79:5; Yer 52:12, 13
Zab. 80:17Zb 89:20, 21
Zab. 80:19Zb 80:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 80:1-19

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Mayungiyungi.” Kikumbusho. Muziki wa Asafu.+

80 Ee Mchungaji wa Israeli, sikiliza,

Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi la kondoo.+

Wewe unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+

Angaza.*

 2 Mbele ya Efraimu na Benjamini na Manase,

Chochea nguvu zako;+

Njoo utuokoe.+

 3 Ee Mungu, turudishe;+

Uso wako na utuangazie, ili tuokolewe.+

 4 Yehova Mungu wa majeshi, utaendelea mpaka lini kuwa na hasira kali kuelekea* sala ya watu wako?+

 5 Unawalisha machozi kama mkate,

Nawe unawanywesha machozi kupita kiasi.

 6 Unawaruhusu majirani wetu wagombane kwa sababu yetu;

Maadui wetu wanaendelea kutudhihaki wapendavyo.+

 7 Ee Mungu wa majeshi, turudishe;

Uso wako na utuangazie, ili tuokolewe.+

 8 Uliufanya mzabibu+ uondoke Misri.

Uliyafukuza mataifa na kuupanda.+

 9 Ulitayarisha nafasi kwa ajili yake,

Nao ukatia mizizi na kujaa nchini.+

10 Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

Na mierezi ya Mungu kwa matawi yake.

11 Matawi yake yalienea mpaka baharini,

Na machipukizi yake mpaka kwenye Mto Efrati.+

12 Kwa nini umebomoa kuta za mawe za shamba la mzabibu huo,+

Hivi kwamba wote wanaopita karibu nao wanachuma matunda yake?+

13 Nguruwe wa mwituni wanauharibu,

Na wanyama wa porini wanaula.+

14 Ee Mungu wa majeshi, rudi tafadhali.

Tazama chini kutoka mbinguni uone!

Utunze mzabibu huu,+

15 Shina* ambalo mkono wako wa kuume umepanda,+

Na umtazame mwana ambaye umemtia nguvu* kwa ajili yako mwenyewe.+

16 Umechomwa moto,+ umekatwa.

Wanaangamia kwa kemeo lako.*

17 Mkono wako na umtegemeze mwanamume aliye kwenye mkono wako wa kuume,

Mwana wa binadamu uliyemtia nguvu kwa ajili yako mwenyewe.+

18 Kisha hatutageuka kutoka kwako.

Tuhifadhi hai, ili tuliitie jina lako.

19 Ee Yehova Mungu wa majeshi, turudishe;

Uso wako na utuangazie, ili tuokolewe.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki