Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 89
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kuimba kuhusu upendo mshikamanifu wa Yehova

        • Agano pamoja na Daudi (3)

        • Uzao wa Daudi utadumu milele (4)

        • Mtiwa-mafuta wa Mungu amwita Yeye “Baba” (26)

        • Agano la Daudi ni hakika (34-37)

        • Mwanadamu hawezi kuponyoka Kaburi (48)

Zaburi 89:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Fa 4:30, 31; 1Nya 2:6

Zaburi 89:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utadumu.”

Marejeo

  • +1Nya 16:41; Isa 54:10

Zaburi 89:3

Marejeo

  • +2Sa 7:8; 1Fa 8:16; Lu 1:32, 33
  • +Zb 132:11; Eze 34:23; Ho. 3:5; Yoh 7:42

Zaburi 89:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitaiimarisha kabisa mbegu yako.”

Marejeo

  • +1Nya 17:11; Ufu 22:16
  • +2Sa 7:12, 13; Ebr 1:8

Zaburi 89:6

Marejeo

  • +Zb 40:5; 71:19
  • +Ayu 38:7

Zaburi 89:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kusanyiko.”

Marejeo

  • +Isa 6:2, 3
  • +Da 7:9, 10

Zaburi 89:8

Marejeo

  • +1Sa 2:2; Zb 84:12
  • +Kum 32:4

Zaburi 89:9

Marejeo

  • +Yer 31:35
  • +Zb 65:7; 107:29

Zaburi 89:10

Marejeo

  • +Isa 30:7
  • +Kut 14:26; 15:4
  • +Kut 3:20; Kum 4:34; Lu 1:51

Zaburi 89:11

Marejeo

  • +1Ko 10:26
  • +1Nya 29:11; Zb 50:12

Zaburi 89:12

Marejeo

  • +Yos 19:22, 23
  • +Kum 3:8; Yos 12:1

Zaburi 89:13

Marejeo

  • +Kut 6:6
  • +Kut 13:3
  • +Zb 44:3

Zaburi 89:14

Marejeo

  • +Kum 32:4; Zb 71:19; Ufu 15:3
  • +Kut 34:6; Yer 9:24

Zaburi 89:15

Marejeo

  • +Hes 10:10; Zb 98:6

Zaburi 89:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe yetu inakwezwa.”

Marejeo

  • +Zb 28:7
  • +1Sa 2:10

Zaburi 89:18

Marejeo

  • +Zb 2:6

Zaburi 89:19

Marejeo

  • +1Sa 18:14
  • +2Sa 7:8

Zaburi 89:20

Marejeo

  • +Mdo 13:22
  • +1Sa 16:12, 13; Mdo 10:38

Zaburi 89:21

Marejeo

  • +Zb 80:17; Isa 42:1

Zaburi 89:22

Marejeo

  • +1Nya 17:9

Zaburi 89:23

Marejeo

  • +2Sa 3:1; 7:9
  • +Zb 110:1

Zaburi 89:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe yake itakwezwa.”

Marejeo

  • +2Sa 7:15; 1Nya 17:13; Mdo 13:34

Zaburi 89:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitaweka mamlaka yake.”

Marejeo

  • +1Fa 4:21; Zb 72:8

Zaburi 89:26

Marejeo

  • +2Sa 22:47; Zb 18:2

Zaburi 89:27

Marejeo

  • +Zb 2:7; Ebr 1:5
  • +1Ti 6:15; Ufu 1:5; 19:16

Zaburi 89:28

Marejeo

  • +Mdo 13:34
  • +2Sa 23:5; Zb 89:34

Zaburi 89:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitaiimarisha mbegu yake.”

Marejeo

  • +Isa 9:7; Yer 33:17; Ebr 1:8

Zaburi 89:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hukumu zangu.”

Zaburi 89:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutotii kwao.”

Marejeo

  • +2Sa 7:14; 1Fa 11:14, 31

Zaburi 89:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wala kuwa mwongo kuhusu uaminifu wangu.”

Marejeo

  • +2Sa 7:15; 1Fa 11:32, 36

Zaburi 89:34

Marejeo

  • +Yer 33:20, 21
  • +Yak 1:17

Zaburi 89:35

Marejeo

  • +Hes 23:19; Zb 132:11

Zaburi 89:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mbegu yake itadumu.”

Marejeo

  • +2Sa 7:16, 17; Zb 72:17; Isa 11:1; Yer 23:5; Yoh 12:34; Ufu 22:16
  • +Da 7:14; Lu 1:32, 33

Zaburi 89:38

Marejeo

  • +1Nya 28:9

Zaburi 89:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Umelitia unajisi.”

Zaburi 89:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Umeyavunja mabanda yake yote ya mawe.”

Zaburi 89:41

Marejeo

  • +Kum 28:37

Zaburi 89:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Umeuinua juu mkono wa kulia wa maadui wake.”

Marejeo

  • +Kum 28:25

Zaburi 89:46

Marejeo

  • +Zb 13:1

Zaburi 89:47

Marejeo

  • +Ayu 7:7; Zb 39:5

Zaburi 89:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiokoa nafsi yake.”

  • *

    Tnn., “mkono wa Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ayu 30:23; Zb 49:7, 9

Zaburi 89:49

Marejeo

  • +2Sa 7:12-15; Zb 132:11; Isa 55:3

Zaburi 89:50

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kubeba kifuani mwangu.”

Zaburi 89:52

Marejeo

  • +Zb 41:13; 72:18

Jumla

Zab. 89:utangulizi1Fa 4:30, 31; 1Nya 2:6
Zab. 89:21Nya 16:41; Isa 54:10
Zab. 89:32Sa 7:8; 1Fa 8:16; Lu 1:32, 33
Zab. 89:3Zb 132:11; Eze 34:23; Ho. 3:5; Yoh 7:42
Zab. 89:41Nya 17:11; Ufu 22:16
Zab. 89:42Sa 7:12, 13; Ebr 1:8
Zab. 89:6Zb 40:5; 71:19
Zab. 89:6Ayu 38:7
Zab. 89:7Isa 6:2, 3
Zab. 89:7Da 7:9, 10
Zab. 89:81Sa 2:2; Zb 84:12
Zab. 89:8Kum 32:4
Zab. 89:9Yer 31:35
Zab. 89:9Zb 65:7; 107:29
Zab. 89:10Isa 30:7
Zab. 89:10Kut 14:26; 15:4
Zab. 89:10Kut 3:20; Kum 4:34; Lu 1:51
Zab. 89:111Ko 10:26
Zab. 89:111Nya 29:11; Zb 50:12
Zab. 89:12Yos 19:22, 23
Zab. 89:12Kum 3:8; Yos 12:1
Zab. 89:13Kut 6:6
Zab. 89:13Kut 13:3
Zab. 89:13Zb 44:3
Zab. 89:14Kum 32:4; Zb 71:19; Ufu 15:3
Zab. 89:14Kut 34:6; Yer 9:24
Zab. 89:15Hes 10:10; Zb 98:6
Zab. 89:17Zb 28:7
Zab. 89:171Sa 2:10
Zab. 89:18Zb 2:6
Zab. 89:191Sa 18:14
Zab. 89:192Sa 7:8
Zab. 89:20Mdo 13:22
Zab. 89:201Sa 16:12, 13; Mdo 10:38
Zab. 89:21Zb 80:17; Isa 42:1
Zab. 89:221Nya 17:9
Zab. 89:232Sa 3:1; 7:9
Zab. 89:23Zb 110:1
Zab. 89:242Sa 7:15; 1Nya 17:13; Mdo 13:34
Zab. 89:251Fa 4:21; Zb 72:8
Zab. 89:262Sa 22:47; Zb 18:2
Zab. 89:27Zb 2:7; Ebr 1:5
Zab. 89:271Ti 6:15; Ufu 1:5; 19:16
Zab. 89:28Mdo 13:34
Zab. 89:282Sa 23:5; Zb 89:34
Zab. 89:29Isa 9:7; Yer 33:17; Ebr 1:8
Zab. 89:322Sa 7:14; 1Fa 11:14, 31
Zab. 89:332Sa 7:15; 1Fa 11:32, 36
Zab. 89:34Yer 33:20, 21
Zab. 89:34Yak 1:17
Zab. 89:35Hes 23:19; Zb 132:11
Zab. 89:362Sa 7:16, 17; Zb 72:17; Isa 11:1; Yer 23:5; Yoh 12:34; Ufu 22:16
Zab. 89:36Da 7:14; Lu 1:32, 33
Zab. 89:381Nya 28:9
Zab. 89:41Kum 28:37
Zab. 89:42Kum 28:25
Zab. 89:46Zb 13:1
Zab. 89:47Ayu 7:7; Zb 39:5
Zab. 89:48Ayu 30:23; Zb 49:7, 9
Zab. 89:492Sa 7:12-15; Zb 132:11; Isa 55:3
Zab. 89:52Zb 41:13; 72:18
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 89:1-52

Zaburi

Maskili.* Wa Ethani+ Mwezra.

89 Nitaimba kuhusu jinsi Yehova anavyoonyesha upendo mshikamanifu milele.

Kwa kinywa changu ninavitangazia vizazi vyote uaminifu wako.

 2 Kwa maana nimesema: “Upendo mshikamanifu utajengwa* milele,+

Nawe umeuimarisha kabisa uaminifu wako mbinguni.”

 3 “Nimefanya agano pamoja na yule niliyemchagua;+

Nimemwapia Daudi mtumishi wangu:+

 4 ‘Nitauimarisha kabisa uzao wako*+ milele,

Nami nitakijenga kiti chako cha ufalme kwa vizazi vyote.’”+ (Sela)

 5 Mbingu zinasifu maajabu yako, Ee Yehova,

Naam, uaminifu wako katika kutaniko la watakatifu.

 6 Kwa maana ni nani mbinguni anayeweza kulinganishwa na Yehova?+

Ni nani miongoni mwa wana wa Mungu+ aliye kama Yehova?

 7 Mungu anaogopwa katika baraza* la watakatifu;+

Yeye ni mtukufu na mwenye kuogopesha kwa wote wanaomzunguka.+

 8 Ee Yehova Mungu wa majeshi,

Ni nani aliye na nguvu kama wewe, Ee Yah?+

Uaminifu wako unakuzunguka.+

 9 Unautawala msukosuko wa bahari;+

Mawimbi yake yanapoinuka, unayatuliza.+

10 Umemponda Rahabu+ kama mtu aliyeuawa.+

Kwa mkono wako wenye nguvu umewatawanya maadui wako.+

11 Mbingu ni zako, na dunia ni yako;+

Nchi inayozaa na vinavyoijaza+—umeviumba.

12 Kaskazini na kusini—uliziumba;

Tabori+ na Hermoni+ hulisifu kwa shangwe jina lako.

13 Mkono wako una uwezo;+

Mkono wako una nguvu;+

Mkono wako wa kuume umekwezwa.+

14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+

Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+

15 Wenye furaha ni watu wanaojua kelele za shangwe.+

Ee Yehova, wanatembea katika nuru ya uso wako.

16 Wanashangilia mchana kutwa kwa sababu ya jina lako,

Na kwa sababu ya uadilifu wako wanakwezwa.

17 Kwa maana wewe ni utukufu wa nguvu zao,+

Na kwa kibali chako nguvu zetu zinakwezwa.*+

18 Kwa maana ngao yetu ni ya Yehova,

Mfalme wetu ni wa Mtakatifu wa Israeli.+

19 Wakati huo uliwaambia hivi washikamanifu wako katika maono:

“Nimempa nguvu aliye hodari;+

Nimemkweza aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu.+

20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+

Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+

21 Mkono wangu utamtegemeza,+

Na mkono wangu utamwimarisha.

22 Hakuna adui atakayemtoza ushuru,

Na hakuna mwovu atakayemkandamiza.+

23 Nitawavunja maadui wake vipandevipande kutoka mbele yake+

Na kuwaangamiza wale wanaomchukia.+

24 Uaminifu wangu na upendo wangu mshikamanifu uko pamoja naye,+

Na katika jina langu nguvu zake zitakwezwa.*

25 Nitauweka mkono wake* juu ya bahari

Na mkono wake wa kulia juu ya mito.+

26 Atasema kwa sauti: ‘Wewe ni Baba yangu,

Mungu wangu na Mwamba wa wokovu wangu.’+

27 Nami nitamfanya kuwa mzaliwa wa kwanza,+

Aliye juu zaidi kati ya wafalme wa dunia.+

28 Nitadumisha upendo wangu mshikamanifu kumwelekea milele,+

Na agano langu nililofanya pamoja naye halitavunjika kamwe.+

29 Nitauimarisha uzao wake* milele

Na kukifanya kiti chake cha ufalme kidumu kama mbingu.+

30 Wanawe wakiiacha sheria yangu

Na wasipotembea kulingana na maagizo yangu,*

31 Wakizivunja sheria zangu

Na wasiposhika amri zangu,

32 Basi nitaadhibu uasi wao* kwa fimbo+

Na kosa lao kwa viboko.

33 Lakini sitaacha kamwe kumtendea kwa upendo wangu mshikamanifu+

Wala sitakosa kutimiza ahadi yangu.*

34 Sitavunja agano langu+

Wala kubadili maneno yaliyosemwa na midomo yangu.+

35 Nimeapa katika utakatifu wangu, mara moja kwa wakati wote;

Sitamwambia Daudi uwongo.+

36 Uzao wake utadumu* milele;+

Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele zangu.+

37 Kama mwezi, kitaimarishwa kabisa milele

Kama shahidi mwaminifu angani.” (Sela)

38 Lakini wewe mwenyewe umemtupa mbali na kumkataa;+

Umemkasirikia sana mtiwa-mafuta wako.

39 Umelikataa kwa dharau agano ulilofanya na mtumishi wako;

Umelichafua* taji lake kwa kulitupa ardhini.

40 Umezivunja kuta zake zote za mawe;*

Umezifanya ngome zake kuwa magofu.

41 Wote wanaopita karibu naye wamempora;

Yeye ni shutuma kwa jirani zake.+

42 Umewapa ushindi wapinzani wake;*+

Umewafanya maadui wake wote washangilie.

43 Pia umeusukuma nyuma upanga wake,

Na kumfanya ashindwe vitani.

44 Umekomesha fahari yake

Na kukitupa ardhini kiti chake cha ufalme.

45 Umefupisha siku zake za ujana;

Umemvisha aibu. (Sela)

46 Ee Yehova, utaendelea kujificha mpaka lini? Utajificha milele?+

Je, ghadhabu yako itaendelea kuwaka kama moto?

47 Kumbuka jinsi maisha yangu yalivyo mafupi!+

Je, uliwaumba wanadamu wote bila kusudi?

48 Ni mwanadamu gani anayeweza kuishi na asione kifo kamwe?+

Je, anaweza kujiokoa mwenyewe* kutoka katika nguvu za Kaburi?* (Sela)

49 Yako wapi matendo yako ya zamani ya upendo mshikamanifu, Ee Yehova,

Ambayo ulimwapia Daudi katika uaminifu wako?+

50 Kumbuka, Ee Yehova, dhihaka ambazo watumishi wako wanavurumishiwa;

Jinsi ninavyolazimika kuvumilia* dhihaka za mataifa yote;

51 Jinsi ambavyo maadui wako wamevurumisha matusi, Ee Yehova;

Jinsi ambavyo wameitukana kila hatua ya mtiwa-mafuta wako.

52 Yehova na asifiwe milele. Amina na Amina.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki