Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 32
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Mfalme na wakuu watatawala kwa haki ya kweli  (1-8)

      • Wanawake wanaopuuza mambo waonywa (9-14)

      • Kumiminwa kwa roho kwaleta baraka (15-20)

Isaya 32:1

Marejeo

  • +Mwa 49:10; Zb 2:6; Lu 1:32, 33; Yoh 1:49
  • +Zb 45:6; 72:1; Isa 9:7; 11:4, 5; Yer 23:5; Zek 9:9; Ebr 1:9; Ufu 19:11

Isaya 32:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kibanda cha kujificha.”

  • *

    Au “mahali pa kukimbilia.”

Marejeo

  • +Isa 35:6

Isaya 32:4

Marejeo

  • +Isa 35:6

Isaya 32:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutenda kwa kutomwogopa Mungu.”

Marejeo

  • +Mik 2:1

Isaya 32:7

Marejeo

  • +Yer 5:26; Mik 7:3
  • +1Fa 21:9, 10

Isaya 32:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “matendo mema.”

Isaya 32:9

Marejeo

  • +Isa 3:16

Isaya 32:10

Marejeo

  • +Omb 2:12; Sef 1:13

Isaya 32:11

Marejeo

  • +Isa 3:24

Isaya 32:13

Marejeo

  • +Isa 22:2; Omb 2:15

Isaya 32:14

Marejeo

  • +2Fa 25:9, 10
  • +2Nya 27:1, 3; Ne 3:26
  • +Isa 27:10

Isaya 32:15

Marejeo

  • +Isa 44:3
  • +Isa 29:17; 35:1, 2

Isaya 32:16

Marejeo

  • +Isa 42:1, 4; 60:21

Isaya 32:17

Marejeo

  • +Zb 119:165; Isa 55:12
  • +Eze 37:26; Mik 4:3, 4

Isaya 32:18

Marejeo

  • +Isa 60:18; 65:22; Yer 23:6; Eze 34:25; Ho. 2:18

Isaya 32:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mnaowafungua.”

Marejeo

  • +Isa 30:23, 24

Jumla

Isa. 32:1Mwa 49:10; Zb 2:6; Lu 1:32, 33; Yoh 1:49
Isa. 32:1Zb 45:6; 72:1; Isa 9:7; 11:4, 5; Yer 23:5; Zek 9:9; Ebr 1:9; Ufu 19:11
Isa. 32:2Isa 35:6
Isa. 32:4Isa 35:6
Isa. 32:6Mik 2:1
Isa. 32:7Yer 5:26; Mik 7:3
Isa. 32:71Fa 21:9, 10
Isa. 32:9Isa 3:16
Isa. 32:10Omb 2:12; Sef 1:13
Isa. 32:11Isa 3:24
Isa. 32:13Isa 22:2; Omb 2:15
Isa. 32:142Fa 25:9, 10
Isa. 32:142Nya 27:1, 3; Ne 3:26
Isa. 32:14Isa 27:10
Isa. 32:15Isa 44:3
Isa. 32:15Isa 29:17; 35:1, 2
Isa. 32:16Isa 42:1, 4; 60:21
Isa. 32:17Zb 119:165; Isa 55:12
Isa. 32:17Eze 37:26; Mik 4:3, 4
Isa. 32:18Isa 60:18; 65:22; Yer 23:6; Eze 34:25; Ho. 2:18
Isa. 32:20Isa 30:23, 24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 32:1-20

Isaya

32 Tazama! Mfalme+ atatawala kwa uadilifu,+

Na wakuu watatawala kwa haki.

 2 Na kila mmoja atakuwa kama mahali pa kujificha* kutokana na upepo,

Na mahali pa kujisitiri* kutokana na dhoruba ya mvua,

Kama vijito vya maji katika nchi isiyo na maji,+

Kama kivuli cha jabali kubwa katika nchi iliyokauka.

 3 Kisha macho ya wale wanaoona hayatafungwa tena,

Na masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.

 4 Moyo wa wale wanaofanya mambo bila kufikiri utatafakari ujuzi,

Na ulimi wa wenye kigugumizi utazungumza kwa ufasaha na waziwazi.+

 5 Mtu mpumbavu hataitwa tena mkarimu,

Na mtu asiye na msimamo hataitwa mheshimiwa;

 6 Kwa maana mtu mpumbavu atazungumza upumbavu,

Na moyo wake utatunga mambo yanayodhuru,+

Ili kuendeleza uasi imani* na kusema mambo mapotovu dhidi ya Yehova,

Kusababisha mwenye njaa akae njaa

Na kumnyima mwenye kiu maji ya kunywa.

 7 Mipango ya mtu asiye na msimamo ni mibaya;+

Anaendeleza mwenendo wa aibu

Ili kumwangamiza kwa uwongo mtu anayeteseka,+

Hata maskini anaposema jambo lililo sawa.

 8 Lakini mtu mkarimu ana nia ya ukarimu,

Naye huendelea kutenda matendo ya ukarimu.*

 9 “Enyi wanawake mnaopuuza mambo, simameni msikilize sauti yangu!

Enyi mabinti msiojali,+ sikilizeni ninachosema!

10 Katika muda unaozidi mwaka mmoja hivi, ninyi msiojali mtatetemeka,

Kwa sababu hakuna matunda yatakayokuwa yamekusanywa mavuno ya zabibu yatakapokwisha.+

11 Tetemekeni, ninyi wanawake mnaopuuza mambo!

Tetemekeni, ninyi msiojali!

Vueni nguo mbaki uchi,

Na mvae nguo za magunia viunoni.+

12 Pigeni vifua vyenu kwa kuomboleza

Kwa sababu ya mashamba yanayotamanika na mzabibu unaozaa matunda mengi.

13 Kwa maana ardhi ya watu wangu itafunikwa kwa miiba na michongoma;

Itazifunika nyumba zote zenye furaha,

Naam, jiji la shangwe.+

14 Kwa maana mnara wenye ngome umeachwa;

Jiji lenye kelele limeachwa.+

Ofeli+ na mnara wa mlinzi vimebaki ukiwa daima,

Mahali panapopendwa na punda wa mwituni,

Malisho ya mifugo,+

15 Mpaka roho itakapomiminwa juu yetu kutoka juu,+

Na nyika iwe shamba la matunda,

Na shamba la matunda lionwe kuwa msitu.+

16 Kisha haki itakaa nyikani,

Na uadilifu utakaa katika shamba la matunda.+

17 Matokeo ya uadilifu wa kweli yatakuwa amani,+

Na mazao ya uadilifu wa kweli yatakuwa utulivu wa kudumu na usalama wa kudumu.+

18 Watu wangu watakaa katika makao ya kudumu yenye amani,

Katika makao salama na mahali pa kupumzika penye utulivu.+

19 Lakini mvua ya mawe itauangusha chini msitu,

Na jiji litabomolewa kabisa.

20 Wenye furaha ni ninyi mnaopanda mbegu kando ya maji yote,

Mnaowatoa nje* ng’ombe dume na punda.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki