Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 140
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova ni Mwokozi mwenye nguvu

        • Waovu ni kama nyoka (3)

        • Watu wakatili wataangamia (11)

Zaburi 140:1

Marejeo

  • +Zb 18:48; 59:1

Zaburi 140:2

Marejeo

  • +Zb 64:2, 6

Zaburi 140:3

Marejeo

  • +Zb 52:1, 2; 58:3, 4
  • +Ro 3:13; Yak 3:8

Zaburi 140:4

Marejeo

  • +Zb 17:8; 36:11; 71:4

Zaburi 140:5

Marejeo

  • +Zb 10:9
  • +Yer 18:22

Zaburi 140:6

Marejeo

  • +Zb 28:2; 55:1

Zaburi 140:7

Marejeo

  • +1Sa 17:37

Zaburi 140:8

Marejeo

  • +2Sa 15:31; Zb 27:12

Zaburi 140:9

Marejeo

  • +Zb 7:16; Met 12:13

Zaburi 140:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mashimo yenye umajimaji.”

Marejeo

  • +Zb 11:5, 6
  • +Zb 55:23

Zaburi 140:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nchini.”

Marejeo

  • +Zb 12:3

Zaburi 140:12

Marejeo

  • +Zb 10:17, 18; 22:24

Zaburi 140:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika uwepo wako.”

Marejeo

  • +Zb 23:6

Jumla

Zab. 140:1Zb 18:48; 59:1
Zab. 140:2Zb 64:2, 6
Zab. 140:3Zb 52:1, 2; 58:3, 4
Zab. 140:3Ro 3:13; Yak 3:8
Zab. 140:4Zb 17:8; 36:11; 71:4
Zab. 140:5Zb 10:9
Zab. 140:5Yer 18:22
Zab. 140:6Zb 28:2; 55:1
Zab. 140:71Sa 17:37
Zab. 140:82Sa 15:31; Zb 27:12
Zab. 140:9Zb 7:16; Met 12:13
Zab. 140:10Zb 11:5, 6
Zab. 140:10Zb 55:23
Zab. 140:11Zb 12:3
Zab. 140:12Zb 10:17, 18; 22:24
Zab. 140:13Zb 23:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 140:1-13

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

140 Niokoe, Ee Yehova, kutoka kwa watu waovu;

Nilinde kutoka kwa watu wakatili,+

 2 Wale wanaopanga njama za uovu mioyoni mwao+

Na kuchochea vita mchana kutwa.

 3 Wanaunoa ulimi wao kama wa nyoka;+

Sumu ya nyoka vipiri iko nyuma ya midomo yao.+ (Sela)

 4 Nilinde, Ee Yehova, kutoka mikononi mwa waovu;+

Nilinde kutoka kwa watu wakatili,

Wale wanaopanga njama ya kunitega miguu.

 5 Wenye kiburi huuficha mtego ili uninase;

Kwa kamba wanautandaza wavu kando ya njia.+

Wanatega mitego ya kuninasa.+ (Sela)

 6 Ninamwambia Yehova: “Wewe ni Mungu wangu.

Sikiliza, Ee Yehova, sihi zangu za kuomba msaada.”+

 7 Ee Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

Wewe hukinga kichwa changu katika siku ya vita.+

 8 Ee Yehova, usitosheleze tamaa za waovu.

Usiruhusu njama zao zifanikiwe, ili wasijikweze. (Sela)+

 9 Vichwa vya wale wanaonizingira

Na vifunikwe na uovu unaosemwa na midomo yao.+

10 Makaa ya mawe yanayowaka na yawanyeshee kama mvua.+

Na watupwe motoni,

Ndani ya mashimo yenye kina,*+ wasiinuke tena kamwe.

11 Mchongezi na asipate makao duniani.*+

Uovu na uwafuatie watu wakatili na kuwaangamiza.

12 Ninajua kwamba Yehova atawatetea watu wa hali ya chini

Na kuwatendea haki maskini.+

13 Hakika waadilifu watalishukuru jina lako;

Wanyoofu watakaa mbele za uso wako.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki