Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 46
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Unabii dhidi ya Misri (1-26)

        • Misri itashindwa na Nebukadneza (13, 26)

      • Ahadi kwa Israeli (27, 28)

Yeremia 46:1

Marejeo

  • +Yer 1:10

Yeremia 46:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia nyingine ya kuandika jina hili.

Marejeo

  • +Yer 25:15, 19; Eze 29:2; 32:2
  • +2Nya 35:20
  • +2Fa 23:36; Yer 25:1; 36:1

Yeremia 46:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwa kawaida ilibebwa na wapiga mishale.

Yeremia 46:6

Marejeo

  • +2Fa 24:7

Yeremia 46:8

Marejeo

  • +Eze 29:3; 32:2

Yeremia 46:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuukanyaga.”

Marejeo

  • +Eze 27:2, 10
  • +Mwa 10:6, 13; Eze 30:4, 5
  • +Isa 66:19

Yeremia 46:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mauaji.”

Marejeo

  • +2Fa 24:7

Yeremia 46:11

Marejeo

  • +Mwa 37:25; Yer 8:22
  • +Eze 30:21

Yeremia 46:12

Marejeo

  • +Eze 32:9

Yeremia 46:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia nyingine ya kuandika jina hili.

Marejeo

  • +Yer 43:10; Eze 29:19; 30:10

Yeremia 46:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Memfisi.”

Marejeo

  • +Yer 44:1; Eze 29:10; 30:6
  • +Yer 43:4, 7; Eze 30:18

Yeremia 46:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakati uliowekwa umpite.”

Marejeo

  • +Eze 29:3

Yeremia 46:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, yule atakayeishinda Misri.

Marejeo

  • +Yos 19:17, 22; Amu 4:6; Zb 89:12
  • +1Fa 18:42

Yeremia 46:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Memfisi.”

  • *

    Au labda, “Itakuwa mahame.”

Marejeo

  • +Eze 32:15

Yeremia 46:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwajibishwa.”

Marejeo

  • +Yer 46:5, 15

Yeremia 46:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaokusanya kuni.”

Yeremia 46:24

Marejeo

  • +Eze 30:10

Yeremia 46:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Thebesi.

Marejeo

  • +Nah 3:8
  • +Eze 30:14
  • +Kut 12:12; Isa 19:1; Yer 43:12, 13
  • +Yer 17:5; 42:14

Yeremia 46:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia nyingine ya kuandika jina hili.

Marejeo

  • +Yer 43:10, 11; Eze 32:11
  • +Eze 29:13, 14

Yeremia 46:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

Marejeo

  • +Isa 41:13; 43:1, 2; 44:2
  • +Isa 11:11; Yer 50:19; Eze 39:27; Amo 9:14; Sef 3:20
  • +Yer 23:3, 6; 30:10, 11

Yeremia 46:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitakurekebisha.”

Marejeo

  • +Yer 25:9
  • +Yer 5:10; Amo 9:8
  • +Yer 10:24

Jumla

Yer. 46:1Yer 1:10
Yer. 46:2Yer 25:15, 19; Eze 29:2; 32:2
Yer. 46:22Nya 35:20
Yer. 46:22Fa 23:36; Yer 25:1; 36:1
Yer. 46:62Fa 24:7
Yer. 46:8Eze 29:3; 32:2
Yer. 46:9Eze 27:2, 10
Yer. 46:9Mwa 10:6, 13; Eze 30:4, 5
Yer. 46:9Isa 66:19
Yer. 46:102Fa 24:7
Yer. 46:11Mwa 37:25; Yer 8:22
Yer. 46:11Eze 30:21
Yer. 46:12Eze 32:9
Yer. 46:13Yer 43:10; Eze 29:19; 30:10
Yer. 46:14Yer 44:1; Eze 29:10; 30:6
Yer. 46:14Yer 43:4, 7; Eze 30:18
Yer. 46:17Eze 29:3
Yer. 46:18Yos 19:17, 22; Amu 4:6; Zb 89:12
Yer. 46:181Fa 18:42
Yer. 46:19Eze 32:15
Yer. 46:21Yer 46:5, 15
Yer. 46:24Eze 30:10
Yer. 46:25Nah 3:8
Yer. 46:25Eze 30:14
Yer. 46:25Kut 12:12; Isa 19:1; Yer 43:12, 13
Yer. 46:25Yer 17:5; 42:14
Yer. 46:26Yer 43:10, 11; Eze 32:11
Yer. 46:26Eze 29:13, 14
Yer. 46:27Isa 41:13; 43:1, 2; 44:2
Yer. 46:27Isa 11:11; Yer 50:19; Eze 39:27; Amo 9:14; Sef 3:20
Yer. 46:27Yer 23:3, 6; 30:10, 11
Yer. 46:28Yer 25:9
Yer. 46:28Yer 5:10; Amo 9:8
Yer. 46:28Yer 10:24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 46:1-28

Yeremia

46 Hili ndilo neno la Yehova kwa nabii Yeremia kuhusu mataifa:+ 2 Kuhusu Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko+ mfalme wa Misri, aliyekuwa kando ya Mto Efrati na aliyeshindwa huko Karkemishi na Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:

 3 “Tayarisheni ngao ndogo* na ngao kubwa,

Na mwende kupigana.

 4 Wafungeni farasi lijamu na mpande juu yake, enyi wapanda farasi.

Shikeni nafasi zenu na mvae kofia zenu.

Sugueni mikuki na mvae makoti yenu ya vita.

 5 ‘Kwa nini ninawaona wameshikwa na hofu?

Wanarudi nyuma, mashujaa wao wamepondwa-pondwa.

Wamekimbia kwa woga, mashujaa wao hawakugeuka.

Kuna hofu kila mahali,’ asema Yehova.

 6 ‘Wenye mbio hawawezi kukimbia, na mashujaa hawawezi kuponyoka.

Kule kaskazini, kwenye ukingo wa Mto Efrati,

Wamejikwaa na kuanguka.’+

 7 Ni nani huyu anayepanda kama Mto Nile,

Kama mito iliyofurika maji?

 8 Misri inakuja kama Mto Nile,+

Kama mito iliyofurika maji,

Nayo inasema, ‘Nitapanda na kuifunika dunia.

Nitaliangamiza jiji na wale wanaokaa humo.’

 9 Pandeni, enyi farasi!

Nendeni kiwazimu, enyi magari!

Acheni mashujaa wasonge mbele,

Kushi na Putu, wanaobeba ngao,+

Na Ludimu,+ wanaobeba na kuupinda* upinde.+

10 “Siku hiyo ni ya Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, siku ya kisasi ya kulipiza kisasi dhidi ya maadui wake. Na upanga utanyafua na kujishibisha na kunywa damu yao mpaka ushibe, kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova wa majeshi, ana dhabihu* katika nchi ya kaskazini kando ya Mto Efrati.+

11 Panda mpaka Gileadi uchukue zeri,+

Ewe bikira, binti ya Misri.

Umezidisha matibabu yako bure tu,

Kwa maana hakuna tiba kwa ajili yako.+

12 Mataifa yamesikia kuhusu aibu yako,+

Na kilio chako kimejaa nchini.

Kwa maana shujaa anajikwaa juu ya shujaa,

Na wote wawili wanaanguka pamoja.”

13 Hili ndilo neno ambalo Yehova alimwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni kuishambulia nchi ya Misri:+

14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+

Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+

Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,

Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.

15 Kwa nini watu wako wenye nguvu wamefagiliwa mbali?

Walishindwa kusimama imara,

Kwa maana Yehova amewasukuma na kuwaangusha chini.

16 Wanajikwaa na kuanguka kwa wingi.

Wanaambiana:

“Inukeni! Acheni turudi kwa watu wetu na kwenye nchi yetu

Kwa sababu ya upanga ulio katili.”’

17 Huko wametangaza,

‘Farao mfalme wa Misri ni kelele isiyo na maana

Ambaye ameacha nafasi impite.’*+

18 ‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,

‘Ataingia* kama Tabori+ kati ya milima

Na kama Karmeli+ kando ya bahari.

19 Tayarisha mzigo wako kwa ajili ya uhamisho,

Ewe binti unayekaa Misri.

Kwa maana Nofu* itakuwa kitu cha kutisha;

Itawashwa moto* na kuachwa bila mkaaji.+

20 Misri ni kama ndama jike anayependeza,

Lakini wadudu wanaouma watamvamia kutoka kaskazini.

21 Hata wanajeshi wake waliokodiwa walio kati yake ni kama ndama waliononeshwa,

Lakini wao pia wamegeuka na kukimbia pamoja.

Walishindwa kusimama imara,+

Kwa maana siku yao ya msiba imewajia,

Wakati wao wa kuadhibiwa.’*

22 ‘Sauti yake ni kama ya nyoka anayenyiririka,

Kwa maana wanamfuata kwa nguvu, wakiwa na mashoka,

Kama wanaume wanaokata miti.*

23 Wataukata msitu wake,’ asema Yehova, ‘ingawa ulionekana hauwezi kupenywa.

Kwa maana ni wengi sana kuliko nzige, nao hawahesabiki.

24 Hakika binti ya Misri ataaibishwa.

Atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.’+

25 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Sasa ninamkazia fikira Amoni+ kutoka No,*+ Farao, Misri, miungu yake,+ wafalme wake—naam, Farao na wote wanaomtumaini.’+

26 “‘Nami nitawatia mikononi mwa wale wanaotaka kuwaua, mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni+ na watumishi wake. Lakini baadaye watu watakaa ndani yake kama zamani,’ asema Yehova.+

27 ‘Lakini wewe, mtumishi wangu Yakobo, usiogope,

Usiwe na hofu, Ee Israeli.+

Kwa maana, nitakuokoa kutoka mbali sana

Na uzao wako* kutoka katika nchi walikopelekwa utekwani.+

Yakobo atarudi na kuwa na utulivu bila usumbufu,

Bila mtu wa kuwaogopesha.+

28 Basi usiogope, mtumishi wangu Yakobo,’ asema Yehova, ‘kwa maana niko pamoja nawe.

Nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambako nilikutawanya,+

Lakini wewe sitakuangamiza.+

Nitakutia nidhamu* kwa kiwango kinachofaa,+

Lakini sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.’”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki