Mwanzo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hiyo ndiyo sababu kisima hicho kiliitwa Beer-lahai-roi.+ Tazama, kiko kati ya Kadeshi na Beredi. Mwanzo 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ikatokea kwamba baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu aliendelea kumbariki Isaka mwana wake,+ naye Isaka alikuwa akikaa karibu na Beer-lahai-roi.+
11 Ikatokea kwamba baada ya kifo cha Abrahamu, Mungu aliendelea kumbariki Isaka mwana wake,+ naye Isaka alikuwa akikaa karibu na Beer-lahai-roi.+