Mwanzo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya,+ na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima+ na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—” Isaya 46:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Ninyi mtanifananisha na nani+ au kunifanya kuwa sawa na nani au kunilinganisha na nani ili tuwe sawasawa?+ Wafilipi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+
22 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya,+ na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima+ na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—”
5 “Ninyi mtanifananisha na nani+ au kunifanya kuwa sawa na nani au kunilinganisha na nani ili tuwe sawasawa?+
6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+