Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Yehova Mungu akaendelea kusema: “Tazama, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya,+ na sasa ili asije akanyoosha mkono wake achukue matunda kutoka pia katika mti wa uzima+ na kula na kuishi mpaka wakati usio na kipimo,—”

  • Isaya 46:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Ninyi mtanifananisha na nani+ au kunifanya kuwa sawa na nani au kunilinganisha na nani ili tuwe sawasawa?+

  • Wafilipi 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki