Kumbukumbu la Torati 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini nchi mnayovuka ili kuimiliki ni nchi yenye milima na nchi tambarare za mabonde.+ Inakunywa maji ya mvua ya mbinguni; Isaya 45:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ninyi mbingu, sababisheni mtiririko kutoka juu;+ na anga zenye mawingu zitiririshe uadilifu.+ Dunia na ifunguke, nayo izae wokovu, nayo ichipushe uadilifu+ wakati uleule. Mimi mwenyewe, Yehova, nimeiumba.”+ Hosea 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.
11 Lakini nchi mnayovuka ili kuimiliki ni nchi yenye milima na nchi tambarare za mabonde.+ Inakunywa maji ya mvua ya mbinguni;
8 “Ninyi mbingu, sababisheni mtiririko kutoka juu;+ na anga zenye mawingu zitiririshe uadilifu.+ Dunia na ifunguke, nayo izae wokovu, nayo ichipushe uadilifu+ wakati uleule. Mimi mwenyewe, Yehova, nimeiumba.”+
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.