Kumbukumbu la Torati 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+ Malaki 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nimewapenda ninyi,”+ Yehova amesema. Nanyi mmesema: “Umetupenda kwa njia gani?”+ “Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo,+ Wagalatia 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hiyo wale wanaoshikamana na imani wanabarikiwa+ pamoja na Abrahamu mwaminifu.+
17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+
2 “Nimewapenda ninyi,”+ Yehova amesema. Nanyi mmesema: “Umetupenda kwa njia gani?”+ “Je, Esau hakuwa ndugu ya Yakobo?”+ asema Yehova. “Lakini nilimpenda Yakobo,+