Waamuzi 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na ikatukia kwamba, Israeli wakipanda mbegu,+ Midiani na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ walikuwa wakija, ndiyo, walikuja kupigana nao. 1 Wafalme 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+ Ayubu 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mifugo+ yake ilikuwa ni kondoo elfu saba na ngamia elfu tatu na jozi mia tano za ng’ombe na punda-jike mia tano, pamoja na kundi kubwa sana la watumishi; na mtu huyo akawa mkuu kuliko watu wote wa Mashariki.+
3 Na ikatukia kwamba, Israeli wakipanda mbegu,+ Midiani na Amaleki+ na watu wa Mashariki+ walikuwa wakija, ndiyo, walikuja kupigana nao.
30 Na hekima ya Sulemani ilikuwa pana+ zaidi kuliko hekima ya watu wengine wote wa Mashariki+ na kuliko hekima yote ya Misri.+
3 Na mifugo+ yake ilikuwa ni kondoo elfu saba na ngamia elfu tatu na jozi mia tano za ng’ombe na punda-jike mia tano, pamoja na kundi kubwa sana la watumishi; na mtu huyo akawa mkuu kuliko watu wote wa Mashariki.+