Mwanzo 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Raheli alipoona kwamba alikuwa hajamzalia Yakobo mwana yeyote, Raheli akamwonea wivu dada yake naye akaanza kumwambia Yakobo:+ “Nipe watoto, kama sivyo nitakufa mimi.”+ Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+
30 Raheli alipoona kwamba alikuwa hajamzalia Yakobo mwana yeyote, Raheli akamwonea wivu dada yake naye akaanza kumwambia Yakobo:+ “Nipe watoto, kama sivyo nitakufa mimi.”+