Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Sarai akamwambia Abramu: “Jeuri niliyotendewa na iwe juu yako. Mimi nilimtia mjakazi wangu kifuani pako, naye alipojua kwamba ana mimba, akaanza kunidharau machoni pake. Yehova na ahukumu kati yangu na wewe.”+

  • 1 Samweli 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.

  • Methali 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Moyo mtulivu ni uzima wa mwili wenye nyama,+ lakini wivu hufanya mifupa iwe na ubovu.+

  • Tito 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana hata sisi wakati mmoja tulikuwa watu wasio na akili, wasiotii, tukipotoshwa, tukiwa watumwa wa tamaa na raha za namna mbalimbali, tukiendelea katika ubaya na wivu, wenye kuchukiza, tukichukiana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki