5 Basi Sarai akamwambia Abramu: “Jeuri niliyotendewa na iwe juu yako. Mimi nilimtia mjakazi wangu kifuani pako, naye alipojua kwamba ana mimba, akaanza kunidharau machoni pake. Yehova na ahukumu kati yangu na wewe.”+
3 Kwa maana hata sisi wakati mmoja tulikuwa watu wasio na akili, wasiotii, tukipotoshwa, tukiwa watumwa wa tamaa na raha za namna mbalimbali, tukiendelea katika ubaya na wivu, wenye kuchukiza, tukichukiana.+