Mwanzo 30:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Basi akamwambia hivi: “Wewe mwenyewe unajua jinsi nimekutumikia na jinsi hali ya mifugo yako imekuwa mkononi mwangu;+ Waefeso 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao huenda kila mmoja akafanya, Yehova atamlipa+ huo, hata kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.+ Wakolosai 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi yote+ kama kwa Yehova,+ na si kama kwa wanadamu,
29 Basi akamwambia hivi: “Wewe mwenyewe unajua jinsi nimekutumikia na jinsi hali ya mifugo yako imekuwa mkononi mwangu;+
8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao huenda kila mmoja akafanya, Yehova atamlipa+ huo, hata kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.+