Mwanzo 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+ Mwanzo 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+ Matendo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+
7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+
24 Ndipo Mungu akamjia Labani Msiria+ katika ndoto wakati wa usiku+ na kumwambia: “Jiangalie usije ukamwambia Yakobo jema wala baya.”+
39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+